LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Serikali inabidi itangaze kua kila nyumba ya wageni ni lazima iwe na CCTV kuepusha majanga kama haya! na kuwe na routine ya kuzipitiapitia na kama haziwekwi on basi wanapigwa fines!
Serikali inabidi itangaze kua kila nyumba ya wageni ni lazima iwe na CCTV kuepusha majanga kama haya! na kuwe na routine ya kuzipitiapitia na kama haziwekwi on basi wanapigwa fines!
Ifike mahali sasa wamiliki wagesti wafanye yafuatayo
1. Kila anayeingia gest awe na kitambulisho
2. Kitambulisho kiwe na picha
3. Aandikishwe kwenye orodha ya wageni
4. A sign
5. Wapia anatoka, anafanya kazi, anaishi iandikwe
hii itasaidia kumpata muhusika wakati wa skendo kama hiyo
ifike mahali sasa wamiliki wagesti wafanye yafuatayo
1. Kila anayeingia gest awe na kitambulisho
2. Kitambulisho kiwe na picha
3. Aandikishwe kwenye orodha ya wageni
4. A sign
5. Wapia anatoka, anafanya kazi, anaishi iandikwe
hii itasaidia kumpata muhusika wakati wa skendo kama hiyo
Ifike mahali sasa wamiliki wagesti wafanye yafuatayo
1. Kila anayeingia gest awe na kitambulisho
2. Kitambulisho kiwe na picha
3. Aandikishwe kwenye orodha ya wageni
4. A sign
5. Wapia anatoka, anafanya kazi, anaishi iandikwe
hii itasaidia kumpata muhusika wakati wa skendo kama hiyo
mhhh inauma.polisi kama wakitumia forensic evidence watampata tu hana ujanja,kama gest zingekuwa na CCTV ingekuwa poa zaidi,wadada msikubali kupelekwa uchochoroni na mtu ambae humwamini.
Bado namfikiria huyu binti maskini?? sijui anasoma wapi
na inakuwaje wakubali jibaba kuingia na msichana mdogo ambaye for sure mwonekano wake bado ni dent?