thats correct broda, but guest nyingi zinakuwa zinataka hela tuu hazitozingatia hayo, thats the problem. Na nyingine ni guest za uchochoroni hata kodi hazilipi ndo hazitozingatia hayo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!na inakuwaje wakubali jibaba kuingia na msichana mdogo ambaye for sure mwonekano wake bado ni dent?
RIP
But ningependa kuwaasa kizazi cha sasa (wale ambao bado mnatongozwa) Si kila mtongozaji anania njema na wewe.........wengine vibaka, wengine washirikina wametumwa nyweke ya mwanamke ili wapate utajiri, wengine maserial kilaz so be careful
Siku zote mshahara wa dhambi ni mautimie nadhani ziwekwe camera kwenye maguest halafu hata hawa watoto wa kike ni wajinga wewe utachukuliwaje na mtu usiyemjua tena kimyakimya namlaumu hata huyu marehem tena anasoma shule yenye maadili ya dini then anafanya ujinga kweli inatakiwa itolewe elimu kali sana kwa watoto wa kike na wanatakiwa wajifunze maana wanadanganyika kwa vitu vidogo sana na inawezekana masikini wazazi wake hata walikua hawajui kama mtoto wao anatembea na mijibaba kweli watoto wa siku hizi hatari tupu na hata hao wenye guest lazima watakua wanamjua huyo jamaa sababu wanasema hiyo ilikua ni mara yake ya 3 kuleta mwanamke ndani ya guest hiyo!
huyo mwanaume asakwe.
..Can anyone tell what is the exactly cause of the death?
and may be why the other two girls dindt feel like staying with the man?
there might be many causes hata madawa,au uume mkubwa au jamaa anaweza kua mshirikina man mambo yanaweza kua mengi sana
Siku zote mshahara wa dhambi ni mauti