Binti afia gesti,Kinondoni!!!

bongo vitambulisho vya raia tu vinatushinda yaani inasikitisha sana matukio kama haya ingekua rahisi sana kuyafuatilia
haya yote uliyosema yatanguliwe na uwepo wa vitambulisho vya raia. Maana vitambulisho vingi bongo ni magumashi. Hilo ni deni kwa serikali
 
bwana embu tuwekee picha hapa jamvini man!!maana wana JF tusije kudondokea huko siku moja
PHP:
Mkomboni Bar & Guest House, iliyopo Mtaa wa Mkunguni Kata ya Hananasifu jijini Dar es Salaam.

Hii guest nimeenda kusavey nitaweka majibu baadae pamoja na picha
 
hiyo title ya mwanafunzi imevaliwa njuga ili kuuza stori.
hata hivyo nawatakia faraja ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu.
na kwa marehemu r.i.p.
 
duh!!!napita tu nitarudi baadae hilo gari mlilipaki wapi?porini au town maana magari mkishaanza tu linaanza kunesanesa

Iseee hi imenikumbusha nilipokuwa wa ex pale chuo kikuu car park; mlinzi akatutokea..du ilibidi niwapozee maana walitaka kutuaibisha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom