Appreciated..ngoja nianze hivi wenzangu wataongezea.
1. Uwe na mtaji wakutosha
2. Uwe na location nzuri kwajili ya kufungua hiyo bucha/mabucha.
3. Kama unaweza tafuta na kununua hao wanyama mikoani uchinje mwenyewe hii itakuongezea faida
4. Shirikiana na wazoefu katika biashara hii waliopo eneo husika.
5. Fanya kazi kwa bidii na kujituma..hii biashara inalipa sana hasa ukiwa miji mikubwa.
kila la heri mkuu
Ili ujue ni kiasi gani kitahitajika fanya haya:-Niongezee tu kukuuliza, hivi inatakiwa uwe na mtaji wa kuanzia kama million ngapi?
hahahahaaaUkianza hyo biashara usiandike 'Butcher' ,andika tu Duka la Nyama, neno butcher linatumika kimakosa sana.
Chief niko Kilimanjaro nataka kufanya hii biashara sijapata sehemu nzuri ya kuweka officemkuu mi nakupa kimoja ambacho wengi hawakisema ni katika faid, nyama jumla unaweza nunua Tshs3500 then wewe unakuja uza Tshs6000 pia kunasehemu nyingine wanauza chini au zaidi kidogo, ukiweka na usafiri kusafirisha nyama nadhani unaweza gundua unaweza pata kiasi gani
Mie sie mkazi wa huko hata mahala pakuweka lango siwezi jua but fanya utafiti wako binafsi kwanza then ukiona unapata ugumu unaweza tafuta watu wakufanyie hiyo kazi.Chief niko Kilimanjaro nataka kufanya hii biashara sijapata sehemu nzuri ya kuweka office
Rangi ni lazima iwe nyeupe? Maana wengine tunataka ongeza na vitu vya ziadaBiashara ya nyama nzuri
1.frem ( tafuta maeneo yakawaida hata yenye mabutcher mengine manake utauza tu ukiwa na muuzaji mzuri) kodi itategemea na eneo
2. Gogo la kukatia nyama kwa dar 40000 hadi 50000 inategemea na mahali
3. Mashine yakukatia nyama sikushauri unune mwanzoni ingawa ni yamuhimu kiasi bei ni 1.3 mpka 1.5 kkoo
4. Friza la 250000 linatosha kuanzia manake ni kwa dharura kwa nyama inayobaki na usipange kununua nyama nying kujaza butcher wakati haitoki kwa wingi
5.meza ya bati kwaajili yakuweka vitu kama mizani,visu n.k
6.mizani ni laki kkoo
7.chuma la kuninginizia nyama
8. Lesseni ya biashara 80
9.TFDA certificate
Inakusaidia mkuu kiasi.
Ohoooo na gari je?!Unahitaji Freeze kubwa,Unahita mashine ya kukata Nyama.Biashara ya bucha inalipa ukianza na bucha moja ahalafu ukawa na gari ya kusambaza nyama.Unaenda Unanunua Ngombe Mzima.Unaanza kumuuza machinjioni.Inayobaki unasambaza kwa watu kisha unaweka nyingine buchani kwako.Mtaji wa Chini ni kodi plus laki tano ya nyama
Laki 8Nenda Azikiwe House Mtaa wa Azikiwe. Au nenda Indian Street utazikuta maduka ni mengi tu.
Kumbe ulisikia? Wapi na naomba uthibitishe usemacho.Kwa kwenye mabucha nilisikia watawala wakisema wanatoa miezi sita wenye mabucha wawe wameweka machine ya kutatia Nyama hawataki kuona magogo.umeme ukikatika wanunue jenerator ambapo Kwa hesabu za haraka haraka ni kama 2m sasa nawaza Kwa wale wenye biashara changa na makodi ndio hayo dah,wafikirie upya jamani wawape angalau mwaka wajipange au mnaonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app