Inawezekana wao wamefanya mambo wengi wakidhani Musiba.
Ila nzito zaidi ni tatizo la afya linaweza likawa lilimkuta na hizi umri pia kashkash za maisha.
Timing ndo imezua mengi.
Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.
Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Inawezekana wao wamefanya mambo wengi wakidhani Musiba.
Ila nzito zaidi ni tatizo la afya linaweza likawa lilimkuta na hizi umri pia kashkash za maisha.
Timing ndo imezua mengi.
Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.