Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Mimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).

Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.

Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!

Kama Hawajaua au Hakuna Aliyekufa Hizo DAMU Hapo Mbele Tunazoziona Ni Za Nini?
 
Kulikuwa Kuna mpelelezi mkuu wa Kilimanjaro hanaitwa Joakim (hali Kuwa ni mmbulu)Halikmesha Moshi kina kadogo, Sambeke,Hellija jamaa wengine hili bidi watu wa kimbiye Moshi,HAPAna mchezo hukitumia Silaa your dead man .HaliKuwa single handed hakuna haja ya kupelekana mahakamani ,he shoot on the spot,Kwa hiyo Tanzania Hinahitaji kufanya hivyo kwasababu they are killing innocent people for nothing even wamechukuwa fedha they still kill you.
Jamba wa kutumia Silaa za moto death penalty.
Mhhhhhh wewe jamaa ni kabila gani aisee?
Ni Mtanzania kweli???
 
Mkuu, hakuna haja ya picha, mimi ofisi yangu ipo hapa hapa rangi 3, na majambazi wakati wanakimbia na pikipiki, wamezunguka wakaja kutokea hapa kwenye kituo kidogo cha polisi Charambe, kulikuwa na askari wameweka doria pale, wakawaftatulia risasi, wakaacha pikpiki 2 pale wakakimbia kwa miguu. Ambapo walisema wameingia kwenye nyumba za hapo hapo jirani, na askari kumshika mwenye nyumba kwa mahojiano.
Ila watu walikuwa wengi sana, kama unavyojua Mbagala, inawezekana wezi wamejichanganya na raia wema..!
Duh hiyo kali kama muve hivi
 
threat to death a police is allowed to use extra force including killing. situation ya Mbagala no body will question what happened. polisi wamefanya sawa kabisa.. hujawahi kuvamiwa wewe ndio maana unawatetea wahalifu. ningekuwepo Mbagala ningepiga hata mawe pumb******* zao hao majambawazi

!
!
Ni wakati gani anaruhusiwa kutumia extra force hata ikibidi kuua? Mmeshamkata mmemdhibiti kwa nini mumpige. Nilianza kuchangia kwa uoande huu baada ya jamaa mmoja kusema wamekamatwa na by the time polisi walikuwa busy kuwapiga huku raia wakishangilia. Hapo ndipo mimi naona sio sawa.
 
!
!
Kwa nini wanawapiga sasa? Si washawakamata fujo za nini? Askari wafanye kazi yao hiyo ya kuwahukumu waiachie mahakama. Hao ni watuhumiwa tu mpaka mda huu bado hawajawa majambazi wa kutumia silaha. Waache vyombo vingine vifanye kazi zao.

Nini unasema, kakamatwa na vidhibiti bado unamwita mtuhumiwa. Acheni siasa kwenye mambo serious.
 
!
!
Sawa ila kuna umuhimu wa kutii sheria si kwa wananchi tu bali hata vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Majambazi wanavunja sheria just like polisi anayempiga mtu ambaye keshakubali kuwa chini ya amri yake. Makosa mawili hayasahihishi. Kwa hiyo basi kama ni kweli walijuwa wanawapiga baada ya kuwakamata mimi binafsi naona sio sawa. Wafikishwe mahakamani wahukumiwe tu kwa mujibu wa sheria. Kuna muda watu wamefanana nguo mkuu mkajikuta mnaua ambaye hahusiki.
Samahani mkuu, una hisa nini?
 
Kama kuna JAMBAZI humu JF(lazima wapo) namshauri atafute kazi nyingine tu
1456508616755-jpg.325850

Watafute kazi ya kufanya wakati Siku hizi wanakwambia ajali kazini. Hawa watu ni wakupigwa risasi tu!
 
Kuna shughuli ya wanaume pale imefanyika

Du! Jamaa kaenda kukutana na Mungu wake ila kaondoka na tiketi ya wizi, atafute majibu kama 1000 dhidi ya swali moja. Kibinadamu tunasema Mungu amsamehe madhambi yake. Ila serikali itakuwa na dhima mbele ya Mwenyezi Mungu kwanini huwafundisha RAIA wake kuwa Mungu hakuna.
 
!
!
Nimesoma zaidi nimekuta wameshauwawa, sasa sijajua kama ndio wale walikamatwa au lah. Two wrongs does not makes it right. Majambazi walikosea kuiba and all that ila polisi walitakiwa kuhakikisha hawa watu wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Hebu kakojoe ukalale, tutolee upuuzi wako hapa
 
Aliwindwa kikamilifu na mdunguaji, ila sitashangaa nikisikia hakuwa jambazi ila ni raia tu alienda kuwa shuhuda lkn risasi ikampitia na kuunganishwa na majambazi.

Ova

Usimtetee. Ni jambaz hilo angalia hapo shngon kwake ana leso wanayoitumia kufunika uso
 
Back
Top Bottom