Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Kulikuwa Kuna mpelelezi mkuu wa Kilimanjaro hanaitwa Joakim (hali Kuwa ni mmbulu)Halikmesha Moshi kina kadogo, Sambeke,Hellija jamaa wengine hili bidi watu wa kimbiye Moshi,HAPAna mchezo hukitumia Silaa your dead man .HaliKuwa single handed hakuna haja ya kupelekana mahakamani ,he shoot on the spot,Kwa hiyo Tanzania Hinahitaji kufanya hivyo kwasababu they are killing innocent people for nothing even wamechukuwa fedha they still kill you.
Jamba wa kutumia Silaa za moto death penalty.
Du! inahitaji akili ya ziada kukuelewa mkuu.
 
Huyo mfanyakazi Wa Access Bank hapo juu pichani sio Paul au wamefanana!?
 
Hebu kakojoe ukalale, tutolee upuuzi wako hapa

!
!
Brother usiniharibie siku ujue na dharau zako. Nimeacha na sihitaji kurudi matusini. Kama umeona hukibaliani na mimi si uniteme tu shida iko wapi? Dharau mi sipendi kabisa ujue. Nimekusamehe tu bure basi.
 
!
!
Brother usiniharibie siku ujue na dharau zako. Nimeacha na sihitaji kurudi matusini. Kama umeona hukibaliani na mimi si uniteme tu shida iko wapi? Dharau mi sipendi kabisa ujue. Nimekusamehe tu bure basi.
Kama ulivyoboreka ndo uone ni jinsi gani nawe post zako zilivyotukera. Watu tumepoteza wapendwa wetu halafu wee unaandika siasa gani sijui.
 
Access bank hawana ulinzi wa polisi ....upo umuhimu wa kutanua kikosi cha FFU ili wakidhi mahitaji ya ulinzi ktk sehemu nyeti ...tatizo ni bajeti kufinywa maana kambi za FFU ni expensive kwakuwa zipo kijeshi zaidi kutokana na namna askari wa FFU anavyotakiwa kutunzwa ili kulinda utimamu wake tofauti na askari wa kawaida.



Hata mimi wale maFFU nayakubali sana .
Wana nidhamu sana halafu kule kuna masnaipa wa uhakika.
Hao wanaoitwa anti robari wengi wao ndio narobari wenyewe . Wanapewa marupurupu zaidi ya maffu lakini hakuna wanachofanya zaidi ya kukimbizana na wauza mkaa na matapeli na wacheza kamari mitaani.
Big up askari wa FFU.Wanajituma na hawana mapozi.

Nashauri kila kikosi cha FFU kijengewe Jim za kufanyia mazoezi.
Tunapoelekea kwnye uchumi wa kati ni lazima tuwe na ulinzi imara sana wa nchi yetu kwani wahalifu wengi wana mitandao mpaka nje ya nchi.Na hata silaha nyingine wanazifiche kwenye nchi nyingine. Uhamiaji na JWTZ wajizatiti kuhakisha mipaka yetu inakua salama.

Kila mmiliki wa nyumba ahakikishe anatoa takwimu ya wapangaji wake na mienendo yao.
Wenyeviti wa serikali za mitaa wajue mienendo ya wakazi wa maeneo yao. Ikitokea kijana anahamia tu eneo fulani na kujenga ghorofa au nyumba ya kifahari kwa muda mfupi bila kujua kazi au shughuli yake anayofanya basi ni vizuri pia akachunguzwa kimya kimya na taarifa zake zikafikishwa kwenye vyombo vya dola.
 
Hata mimi wale maFFU nayakubali sana .
Wana nidhamu sana halafu kule kuna masnaipa wa uhakika.
Hao wanaoitwa anti robari wengi wao ndio narobari wenyewe . Wanapewa marupurupu zaidi ya maffu lakini hakuna wanachofanya zaidi ya kukimbizana na wauza mkaa na matapeli na wacheza kamari mitaani.
Big up askari wa FFU.Wanajituma na hawana mapozi.

Nashauri kila kikosi cha FFU kijengewe Jim za kufanyia mazoezi.
Tunapoelekea kwnye uchumi wa kati ni lazima tuwe na ulinzi imara sana wa nchi yetu kwani wahalifu wengi wana mitandao mpaka nje ya nchi.Na hata silaha nyingine wanazifiche kwenye nchi nyingine. Uhamiaji na JWTZ wajizatiti kuhakisha mipaka yetu inakua salama.

Kila mmiliki wa nyumba ahakikishe anatoa takwimu ya wapangaji wake na mienendo yao.
Wenyeviti wa serikali za mitaa wajue mienendo ya wakazi wa maeneo yao. Ikitokea kijana anahamia tu eneo fulani na kujenga ghorofa au nyumba ya kifahari kwa muda mfupi bila kujua kazi au shughuli yake anayofanya basi ni vizuri pia akachunguzwa kimya kimya na taarifa zake zikafikishwa kwenye vyombo vya dola.
Mi napokaa ata mwemyekiti simjui...Sasa vp mwenyekiti atanijua mm
 
Wameshaambiwa wekeni polisi,hawajali,hutajisikia tena wizi Tpb,Nbc na Nmb kwa kua serikali ina hisa kule imewalazimisha waweke polisi
Mbona hata CRDB wana polisi , tena siyo mmoja. Wawili au watatu na wote wana vyuma. Hata access wanao polisi. Hiyo branch watakuwa wapiga deal
 
Mi napokaa ata mwemyekiti simjui...Sasa vp mwenyekiti atanijua mm


Inabidi sasa zile mil. 50 kila kijiji zitumike kuwawezesha wenyeviti wa serikali za mitaa kwanza ili wafanye kazi kama wafanyakazi wengine.
Wasiwe ni wapiga kampeni tu wakati wa uchaguzi.
 
Kama ulivyoboreka ndo uone ni jinsi gani nawe post zako zilivyotukera. Watu tumepoteza wapendwa wetu halafu wee unaandika siasa gani sijui.

!
!
Dharau ndio sio inshu kaka. Nilichokosea ni nini hapo? Sheria zipo wazi kabisa. Otherwise tutengue sheria tuwape polisi mamlaka ya kutoa na hukumu pia kama hakuna umuhimu wa mahakama.
 
Inasemekana Polis wa 4 wamepoteza maisha

Hizi taarifa zote ni ubabaishaji mtupu.Breaking news walisema watu watatu waliuwawa ktk uvamizi huo hawakufafanua walikuwa wateja au watumishi wa benki hiyo pia wakasema na kiasi kikubwa cha hela kimeibiwa na majambazi hao.Uzi unadai majambazi ndio waliouliwa na baadhi ya wachangiaji wanasema ni askari ndio waliouawa. Jf tafuteni usahihi wa taarifa hii muwaaminishe wanachama wenu.
 
duuuuuuh kwanini ujambazi unaanza kuja kwa kasi toka mwaka jana december matukio yanaongezeka haya majuzi tu tegeta mara airport ndo huko mbagala
 
Back
Top Bottom