Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Kazi nzuri FFU na wananchi woote waliosimama kidete kuwazima hawa mahantaramwe.

Ila kuna kazi ngumu humu duniani jamani!? Hebu imagine risasi zinarindima na mamilio yake ya kutisha ya kuzimu yale then unaambiwa uzifuate zinakotokea? Mbaaya zaidi hata ujajiandaa saikolojikale kupambana in a close quater battle...aseee!! Kwa mimi sisonhi mbele ng'o! Over my dead body!! Pongezi saana FFU..ur da man.

Rais Magufuli waghasia( FFU) hawahitaji mabomu ya machozi kwa sasa bali maslahi bora maana washaifanyia serikali mengi saana, wamekuwa loyal saana kwa serikali kwa kutumiminia mabomu na virungu vipindi vyoote vya uchaguzi mfululizo tirelesly, hawalali kuhakikisha amani iliyopo inaendelea kuwepo n.k they deserves something better than more tasks.

Kudos FFU!
 
Kazi nzuri FFU na wananchi woote waliosimama kidete kuwazima hawa mahantaramwe.

Ila kuna kazi ngumu humu duniani jamani!? Hebu imagine risasi zinarindima na mamilio yake ya kutisha ya kuzimu yale then unaambiwa uzifuate zinakotokea? Mbaaya zaidi hata ujajiandaa saikolojikale kupambana in a close quater battle...aseee!! Kwa mimi sisonhi mbele ng'o! Over my dead body!! Pongezi saana FFU..ur da man.

Rais Magufuli waghasia( FFU) hawahitaji mabomu ya machozi kwa sasa bali maslahi bora maana washaifanyia serikali mengi saana, wamekuwa loyal saana kwa serikali kwa kutumiminia mabomu na virungu vipindi vyoote vya uchaguzi mfululizo tirelesly, hawalali kuhakikisha amani iliyopo inaendelea kuwepo n.k they deserves something better than more tasks.

Kudos FFU!
Tanzania hamna special force kwajili ya majambazi
 
Tanzania hamna special force kwajili ya majambazi

Ipo task force inaitwa CRT ni abbreviation ya Crisis Responses team, kila mwaka wanafundishwa na wamarekani wa SWAT ikiwa na maana ya Special Weapons and Tactics, moja kati ya task force hatari za kipolisi zenye kushughulikia uhalifu mkubwa na wenye kutishia maslahi ya umma mkubwa pale USA.

Sasa mafundi hawa wa USA ndo wanatrain askari kadhaa wa FFU wa CRT. Kuna anko wangu mmoja wa FFU yeye alienda kozi kabisa Marekani..huwa wanaiva mpaka wanamwagikia kwenye kada yao kwa mujibu wa maelezo ya Anko wangu.

Huwa namtwanga maswali kama nimerogwa vile..nshamuuliza hadi vile vibegi vyao vidogo vya mgongoni ni vya nini? Kwanini kwenye ceremonial party wao huvaa combat badala ya ceremonial dress kama wenzao? N.k
 
!
!
Kwa nini wanawapiga sasa? Si washawakamata fujo za nini? Askari wafanye kazi yao hiyo ya kuwahukumu waiachie mahakama. Hao ni watuhumiwa tu mpaka mda huu bado hawajawa majambazi wa kutumia silaha. Waache vyombo vingine vifanye kazi zao.
Mi naona ni sawa tu kwa watu wakatili kama majambazi kutolewa uvivu kidogo ili mradi tu wasiuwawe ili sheria ichukue mkondo wake.
Siku ukivamiwa ndo itajua ubaya wa hawa watu
 
Ipo task force inaitwa CRT ni abbreviation ya Crisis Responses team, kila mwaka wanafundishwa na wamarekani wa SWAT ikiwa na maana ya Special Weapons and Tactics, moja kati ya task force hatari za kipolisi zenye kushughulikia uhalifu mkubwa na wenye kutishia maslahi ya umma mkubwa pale USA.

Sasa mafundi hawa wa USA ndo wanatrain askari kadhaa wa FFU wa CRT. Kuna anko wangu mmoja wa FFU yeye alienda kozi kabisa Marekani..huwa wanaiva mpaka wanamwagikia kwenye kada yao kwa mujibu wa maelezo ya Anko wangu.

Huwa namtwanga maswali kama nimerogwa vile..nshamuuliza hadi vile vibegi vyao vidogo vya mgongoni ni vya nini? Kwanini kwenye ceremonial party wao huvaa combat badala ya ceremonial dress kama wenzao? N.k
Akajibuje hayo maswali
 
Ipo task force inaitwa CRT ni abbreviation ya Crisis Responses team, kila mwaka wanafundishwa na wamarekani wa SWAT ikiwa na maana ya Special Weapons and Tactics, moja kati ya task force hatari za kipolisi zenye kushughulikia uhalifu mkubwa na wenye kutishia maslahi ya umma mkubwa pale USA.

Sasa mafundi hawa wa USA ndo wanatrain askari kadhaa wa FFU wa CRT. Kuna anko wangu mmoja wa FFU yeye alienda kozi kabisa Marekani..huwa wanaiva mpaka wanamwagikia kwenye kada yao kwa mujibu wa maelezo ya Anko wangu.

Huwa namtwanga maswali kama nimerogwa vile..nshamuuliza hadi vile vibegi vyao vidogo vya mgongoni ni vya nini? Kwanini kwenye ceremonial party wao huvaa combat badala ya ceremonial dress kama wenzao? N.k
So crt ndo walio wajambisha hao sura ngumu?
 
Mwehu tu wewe, mwehu mkubwa, eleza wanahusikaje, toa ushahidi mburula we.
Beans kwani hatujui kwamba huwa mnawatonya kwamba ela ndo zmeingia wake wachukue....majambazi hayawez vamia benk bila kupata taarifa za kiinteligensia
 
Kwa wale wasiopajua Access Bank mbagala hii yaweza kuwasaidia.
satellite view.gif
satellite view.gif
satellite view.gif
animated access2.gif
 
Watu wana moyo kweli katika picha wanakanyaga damu huku wana - txt, hii si sawa hata kidogo inaonesha jamii ilivyo, raia na hata majambazi hawana feelings kabisa kuhusu damu ya binadamu.
 
Mi naona ni sawa tu kwa watu wakatili kama majambazi kutolewa uvivu kidogo ili mradi tu wasiuwawe ili sheria ichukue mkondo wake.
Siku ukivamiwa ndo itajua ubaya wa hawa watu

!
!
Nimesoma zaidi nimekuta wameshauwawa, sasa sijajua kama ndio wale walikamatwa au lah. Two wrongs does not makes it right. Majambazi walikosea kuiba and all that ila polisi walitakiwa kuhakikisha hawa watu wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
 
!
!
Nimesoma zaidi nimekuta wameshauwawa, sasa sijajua kama ndio wale walikamatwa au lah. Two wrongs does not makes it right. Majambazi walikosea kuiba and all that ila polisi walitakiwa kuhakikisha hawa watu wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Umeshawah pambana na majambazi ata mara moja?
 
Polisi wamekosea sana kuwapiga hao majambazi hapo kwenye macho ya watu wengi. Wangewachukua kirafiki tu kisha jioni wanaenda nao kwenye msitu wa mabwepande, maiti wanapeleka mutually au baharini.
!
!
Nadhani kazi yao ni kulinda raia na mali zao. Sidhani kama wanaruhusiwa kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom