Mkuu, hakuna haja ya picha, mimi ofisi yangu ipo hapa hapa rangi 3, na majambazi wakati wanakimbia na pikipiki, wamezunguka wakaja kutokea hapa kwenye kituo kidogo cha polisi Charambe, kulikuwa na askari wameweka doria pale, wakawaftatulia risasi, wakaacha pikpiki 2 pale wakakimbia kwa miguu. Ambapo walisema wameingia kwenye nyumba za hapo hapo jirani, na askari kumshika mwenye nyumba kwa mahojiano.Sasa mbona wanatoa habari za uongo kuwa wameweka hela kwenye pikipiki zikiwa kwenye viroba na wamesepa.
Ukituma picha utasaidia sana
Tukio limetokea kama lisaa limoja nyuma! Sasa hivi zimebaki stori za vijiweni tu hapa....!mkuu tulia hapohapo usiondoke uendelee kutuhabarisha ila ukae kwa machale.
kwa kumbukumbu zangu zinaonyesha wote walioua wakiiba wanakamatwa ila yasipotokea mauaji sahau kuhusu fedhaJamani? tena! kwa nini wanaua? kwa nini wasichukue hel waondoke? inasikitisha sana hii.
Mkuu, hakuna haja ya picha, mimi ofisi yangu ipo hapa hapa rangi 3, na majambazi wakati wanakimbia na pikipiki, wamezunguka wakaja kutokea hapa kwenye kituo kidogo cha polisi Charambe, kulikuwa na askari wameweka doria pale, wakawaftatulia risasi, wakaacha pikpiki 2 pale wakakimbia kwa miguu. Ambapo walisema wameingia kwenye nyumba za hapo hapo jirani, na askari kumshika mwenye nyumba kwa mahojiano.
Ila watu walikuwa wengi sana, kama unavyojua Mbagala, inawezekana wezi wamejichanganya na raia wema..!
Acha uongo wewe.. haupo hapoMimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).
Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.
Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!
Mimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).
Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.
Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!
Hizi ndo zinakuwa story kama zile za panya road watu wanakuza sana hizi mambo kifupi clouds wamekurupukaMkuu, hakuna haja ya picha, mimi ofisi yangu ipo hapa hapa rangi 3, na majambazi wakati wanakimbia na pikipiki, wamezunguka wakaja kutokea hapa kwenye kituo kidogo cha polisi Charambe, kulikuwa na askari wameweka doria pale, wakawaftatulia risasi, wakaacha pikpiki 2 pale wakakimbia kwa miguu. Ambapo walisema wameingia kwenye nyumba za hapo hapo jirani, na askari kumshika mwenye nyumba kwa mahojiano.
Ila watu walikuwa wengi sana, kama unavyojua Mbagala, inawezekana wezi wamejichanganya na raia wema..!
wizi wa mabenki wafanyakazi(bankers) ni wahusika 97%Sijui ni lini usalama wa nchi hii kwenye bank zetu utakuwa wa kiwango cha juu
Ni kweli Mkuu, maana muda nilisikia risasi zikilia ovyo, nilipotoka nikakutana nao hapa Kituo kidogo cha polisi charambe, na zile risasi zilizokuwa zinasikika walikuwa wanapiga kujihami, watu wasisogee, askari wa mwanzo kukutana nao ni hawa hapa kituoa cha Charambe...! Wamekamatwa, na nimewaona kwa macho yangu,askari wanawapiga mangumi ya hatari, raia wanashangilia balaa...Ndakilawe;
Upo sehemu nyingine au hiyo Bank ya Access?? Wenzio walioripoti kwanza wanasema askari 4 hawana uhai, wanasema fweza iliwekwa kwa viroba na maroba wenyewe wakachimba. Weye watuambia ati hakuna hata mia ilichukuliwa, yaonyesha weye ulichelewa kufika ukakuta vijana wa Sirro weshaondoa eksibiti (Maiti zao).
Haiwezekani, watu wazingirwe halafu hakuna majeruhi. Huenda weye ni miongoni mwa vijana wa Siro. Sio bureeee. Kila la kheri, muyakamate hayo ma-robbers.
Kweli kabisa yawezekana wao wawe washukiwa wa kwanza.wizi wa mabenki wafanyakazi(bankers) ni wahusika 97%
Ni kweli Mkuu, maana muda nilisikia risasi zikilia ovyo, nilipotoka nikakutana nao hapa Kituo kidogo cha polisi charambe, na zile risasi zilizokuwa zinasikika walikuwa wanapiga kujihami, watu wasisogee, askari wa mwanzo kukutana nao ni hawa hapa kituoa cha Charambe...! Wamekamatwa, na nimewaona kwa macho yangu,askari wanawapiga mangumi ya hatari, raia wanashangilia balaa...