baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,694
- 12,570
Tukio limetokea kama lisaa limoja nyuma! Sasa hivi zimebaki stori za vijiweni tu hapa....!
Kaka stori za vijiweni tena vijiwe vya mbangala
Tukio limetokea kama lisaa limoja nyuma! Sasa hivi zimebaki stori za vijiweni tu hapa....!
Sawa kiongozi nisamehe... Kama nimekosea kuku quote ngoja nikaifute ile quote ili uwe na amani.Niliye muuliza amejibu sasa cjui wewe unawashwa na nini.
Au ndo vile unajiskia kulumbana be logical wewe
Sio big deal tunawekana sawa tuuSawa kiongozi nisamehe... Kama nimekosea kuku quote ngoja nikaifute ile quote ili uwe na amani.
Kama yupo eneo la tukio anajihami atacha kuwa na harakaaliyeripoti ana haraka sana sijamwelewa
Kama hujakasirika poa, ila mimi maana yangu ni kuwa kwenye tukio kama lile ni nadra sana mtu kuweza kupiga picha.. Nadhani hukunielewa vizuri .. But sikuwa na nia mbaya labda kwa vile nilitumia lugha ambayo imekuwa ngumu kwako na kunielewa kiubaya but sikuwa na nia mbaya kiongoziSio big deal tunawekana sawa tuu
Uko sawa nasikia wameuawa majambazi 2 na wengine 4 wamekamatwa.Mimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).
Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.
Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!
Hawa majambazi wanaroho ngumu kweli,Ile sura ya Magufuli tu,Wenzao wengi walishaacha hizo kazi
Am okey wala usiwaze kaka hatukuelewana tuu.Kama hujakasirika poa, ila mimi maana yangu ni kuwa kwenye tukio kama lile ni nadra sana mtu kuweza kupiga picha.. Nadhani hukunielewa vizuri .. But sikuwa na nia mbaya labda kwa vile nilitumia lugha ambayo imekuwa ngumu kwako na kunielewa kiubaya but sikuwa na nia mbaya kiongozi
Mtu kama hujui kitu bora utuliee tuu. majambazi wamekimbia na pesa ni wawili ambao walitoka mapema tu huku wenzao wakirushiana risasi na askari ..badae walikimbia kuwakimbilia wenzao walikimbilia barabara ya mtwara walipofika maeneo ya mzinga kupita daraja la mzinga kidogo ..majambazi waliingia barabara ya vumbi kuelekea sehemu moja inaitwa kisasa..bodaboda wa mzinga stand waliwaunganishia na pikipik zao na badae askari FFU walikuja na pik pik na magari yao ikawa kundi kubwa zaidi ndipo majambazi wawili wakipigwa risasi wote walikufa hapo hapo na askari mmoja amepigwa risasi ya mguu.
Eneo la tukio maeneo ya benk kuna watu wamekufa pamoja na askari na mlinz wa benk pamoja na mama ntilie alipigwa risasi ya maeneo ziwa la kulia.
majambazi wawili mmoja wakike mwingine wa kiume wamekimbia na roba la pesa nyingi saana.
Hakuna mtu anayeruhusiwa kumiliki smg..... Labda tungeulizana tu wanazitoa wapi?pamoja na sababu nyinginezo lakini sheria ya kuruhusu baadhi ya watu kumiliki silaha itazidi kutumaliza. Wengi wao machoni ni Watu wema lakini udhibiti wa namna wanavyozitumia silaha hizo umebaki mikononi mwa mmiliki. Je tunajuwa wanayoyafanya nyuma ya pazia? nadhani ipo haja ya kufanya mapitio ya sheria na kubaki na sheria ileile ya kutoruhusu raia YOYOTE kumiliki silaha. Hii itapunguza japo inaweza isimalize tatizo
Wee huna huruma, akila Shaba utamsaidia?mkuu tulia hapohapo usiondoke uendelee kutuhabarisha ila ukae kwa machale.
Mtu kama hujui kitu bora utuliee tuu. majambazi wamekimbia na pesa ni wawili ambao walitoka mapema tu huku wenzao wakirushiana risasi na askari ..badae walikimbia kuwakimbilia wenzao walikimbilia barabara ya mtwara walipofika maeneo ya mzinga kupita daraja la mzinga kidogo ..majambazi waliingia barabara ya vumbi kuelekea sehemu moja inaitwa kisasa..bodaboda wa mzinga stand waliwaunganishia na pikipik zao na badae askari FFU walikuja na pik pik na magari yao ikawa kundi kubwa zaidi ndipo majambazi wawili wakipigwa risasi wote walikufa hapo hapo na askari mmoja amepigwa risasi ya mguu.
Eneo la tukio maeneo ya benk kuna watu wamekufa pamoja na askari na mlinz wa benk pamoja na mama ntilie alipigwa risasi ya maeneo ziwa la kulia.
majambazi wawili mmoja wakike mwingine wa kiume wamekimbia na roba la pesa nyingi saana.