Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,835
Wao sio wajinga kiasi hicho mkuu, si wanaogopa watauliwa waoJamani? tena! kwa nini wanaua? kwa nini wasichukue hel waondoke? inasikitisha sana hii.
Wao sio wajinga kiasi hicho mkuu, si wanaogopa watauliwa waoJamani? tena! kwa nini wanaua? kwa nini wasichukue hel waondoke? inasikitisha sana hii.
!Umeshawah pambana na majambazi ata mara moja?
Lait ungewah pambana Nayo usingetoa huo ushauri ...coz jambazi anapokua na silaha either akuue wewe au wewe umuue yeye....so akipona ni bahati yake...but the first intention ni kuua...coz hayanaga mzaa haya majitu....!
!
Ulitaka kusemaje mkuu. Just go streight tu?
!Lait ungewah pambana Nayo usingetoa huo ushauri ...coz jambazi anapokua na silaha either akuue wewe au wewe umuue yeye....so akipona ni bahati yake...but the first intention ni kuua...coz hayanaga mzaa haya majitu....
MkuuMimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).
Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.
Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!
Mkuu tujuze..hela walitupa wapi???Mkuu
Zile fedha walizoangusha pale mzinga ziliibwa wapi
Uhakika ni kweli wameiba nami nilipita eneo hilo na kutrack route hadi mzinga walipozitupa hizo hela.
Majambazi zaidi ya watatu wameuawa.
Majambazi yaliua hapo bank
Ghafla Nimekumbuka Uwanja Wa MedaniKuna shughuli ya wanaume pale imefanyika
weka picha mkuuZa leo wanajamvi, nimepita eneo la mbagala rangi tatu muda huu na kuona watu vikundi vikundi karibu na access bank. Pia Bank hiyo iko wazi na kumezungushiwa na polisi. Mlio jirani na hapo tunaomba mtujuze zaidi.
You are right mzee usiombe uvamiwe na hawa watu. Mimi siku ya kwanza kusikia mlio was risasi karibu yangu ilikua kutoka kwa hawa watu walituvamia bar wakapiga risasi za hatari wakatupora simu wallets mikufu Pete na pesa za mauzo then wakapiga risasi nyingine hewani wakasepa. Ilinichukua wiki nzima naota tu. They shaped my drinking habits though nilianza kununua bia nanywea ndani tu bar nikawa napaona kama ahela vile. Ila baadae nilirudia bar tena lakini nikiona anaingia mtu haeleweki yani nakua siko comfortable kabisa. Achana na hao watu aisee. WanatishaMi naona ni sawa tu kwa watu wakatili kama majambazi kutolewa uvivu kidogo ili mradi tu wasiuwawe ili sheria ichukue mkondo wake.
Siku ukivamiwa ndo itajua ubaya wa hawa watu