Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Soma vizuri post yangu uelewe kijana. Na ndio maana nilisema kuna vitu vinahitaji mafunzo stadi na mengi hatuwezi kuyaanika humu kwa sababu za kiusalama.
Kwa elimu gani basi ambayo haijulikani kwenye hiki kizazi cha sayansi na teknolojia?
We nawe kumbe ndo wale wale tu
 
Kwa elimu gani basi ambayo haijulikani kwenye hiki kizazi cha sayansi na teknolojia?
We nawe kumbe ndo wale wale tu
Basi sawa. Ndio walewale ukiwa na maana gani!? Au walewale wanaokutafunia mkeo!!??
 
hao majambazi wanavamiaje benki cha mihimu mapolice wanabid kuwa macho mda wote la sivyo majambazi watazid kutesa nchi yetu
 
ANDIKENIII YOOTEEEE LAKINII HAYA MATUKIOO YASIWAKUTEE MKO BANK

SITOSAHAUU. TUKIOO MOJA AZIKIWE TULILAAA CHINI FASTA KAMA NIKO JKT TOA VITUFUKON YAANII NILITOAA KATOCHII CHANGUU KINA NAMBAA ZOOTE DUNIAN ZINAZONIHUSUU HUKUU NASALII MOLA WAPITIEE HII POCHI INA ALF SABA ..WAKAANZA OKOTS POCHI MOJAMOJA BANA BAADA YA MUDA NAONA MWENZANGU ANANYANYUKA NDIO KUNYANYUKA NAKUTA KATOCHI KA NOKIA KAMESURVIVE AISEE KUANGALIA CHINI

MIITO YA BAHARIII USINIULIZE BAHARIGAN

POLEN WAHUSIKAKAA
dah mkuu mi nimekuelewa.
 
Mbona toka ameingia Kamanda Sirro majambazi yakipora yanakamatwa au kuuwawa tofauti na yule jamaa aliyepita utasikia majambazi yamefanikiwa kutoroka halafu baadae kwenye TV baada ya siku kadhaa tunaonyeshwa bunduki 'eti'zimekamatwa.Hongera Kamanda wa kazi!
 
Kwahali ya maisha inavyoenda tutazidi kushuhudia matukio mengi ya wizi na ujambazi, ugumu wa maisha umeongezeka kwa kasi kubwa sn..
 
Back
Top Bottom