Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Wanaambiwa waweke polisi hawataki! Waige mfano wa crdb, nmb,tpb,nbc
Kama wamekoswakoswa leo na iwe fundisho
 
Access bank hawana ulinzi wa polisi ....upo umuhimu wa kutanua kikosi cha FFU ili wakidhi mahitaji ya ulinzi ktk sehemu nyeti ...tatizo ni bajeti kufinywa maana kambi za FFU ni expensive kwakuwa zipo kijeshi zaidi kutokana na namna askari wa FFU anavyotakiwa kutunzwa ili kulinda utimamu wake tofauti na askari wa kawaida.
 
KakaJambazi na Jambazi hivi hakuna kauwezekano muwe mnakomba salio kimya kimya bila ya kutoa raia wasio na hatia uhai?
Hii taarifa nimeipokea kwa mchungu sana mkuu!! Nadhani jeshi LA polisi litafanya uchunguzi na litawatia ndani wote waliohusika!! Niwape tu pole familia za ndugu zetu waliopoteza maisha
 
Nasikia hali ni mbaya katika eneo la tukio. Kulikuwa bado kuna mabomu 2 yaliyotegwa barabarani na hapo benki bado hayajalipuka. Mapambano yalikua ni makali sana...
 
Back
Top Bottom