Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
Hahaha tulisahau kidogo kipindi cha mkapa ndo yalikuwa mh sasa tunashangaa huyu Msukuma yanaanza tena kwa kasiYameongezeka au yanarudi?
Hahaha tulisahau kidogo kipindi cha mkapa ndo yalikuwa mh sasa tunashangaa huyu Msukuma yanaanza tena kwa kasiYameongezeka au yanarudi?
Au kaandika kijapani nini!Du! inahitaji akili ya ziada kukuelewa mkuu.
Wewe ni mkabaila?Hahaha tulisahau kidogo kipindi cha mkapa ndo yalikuwa mh sasa tunashangaa huyu Msukuma yanaanza tena kwa kasi
Mkuu tuambie wewe unachokijua ili kurekebisha kama kuna upotoshajiKwakuwa tukio zima nimelipata toka kwa waathirika wenyewe moja kwa moja ,nikiangalia na comment walizoandika watu na kuhadithia nilichojifunza watanzania tunapenda kuhadithia tusivyovijua yaani tunapenda kuongeza chumvi
Hujaona picha za mizoga ya hao washenzWamevamia kweli au ndo yale mazoezi yao
maana hatuwaelewi siku hzi
Hii ina uhusiano gani na ujambazi ulioyokea mbagala?!
!
Tuna uhakika gani usio na shaka kwamba waliouwawa ndio haswaa hao majambazi? Kuna tukio mwanza huko sauti mtu kauwawa kwa ajili ya simu ya demu wake, tena hii nimeisoma humu humu.
Sheria ndio iko hivyo. Mahakama ndio inayoweza kumthibitisha kuwa jambazi.
Ova
Mwambie huyo demu aliyemuitia mwizi bwanake ana hali gani kwa sasa!Hii ina uhusiano gani na ujambazi ulioyokea mbagala?
Mkuu hivi hela zikiibiwa bank nani huwa anazilipa?? Au ni mambo ya insurance?Hapo ujue meneja nae katumia hii fursa kuchukua za kwake
Kamanda Siro anasema kuwa idadi ya Majambazi yalikuwa 12 wakiwa na pikipiki 6.watatu kati ya majambazi hayo yameuwawa,polisi 1 na raia moja.Akaendelea kusema kuwa majambazi yalitelekeza pikipiki na kukimbia na kujichanganya na raia..hata hivyo waliwakimbiza na wakakimbilia kwenye msitu na bado hawajawakamata.Pia Waziri wa mambo ya ndani anataka kumshirikisha mwenzake wa ulinzi ili atoe wanajeshi wasaidiane na polisi katika msako huo.
Hutomwelewa tenaaaaliyeripoti ana haraka sana sijamwelewa
Unawezajua kusoma ukawa NA shida ya uelewa huyu anasoma sema shida aelewi anataka aelekezwe zaidi sasa hapa sio tuition unachopata kidogo nenda mtaan kasearch more info jaman..sasa hujamwelewa nini, mbona yuko simple na clear. tatizo wewe inawezekana hujui kusoma