Point of correction!
Niwaombe samahani sana kwa kuwapa taarifa za nilichokiona muda si mrefu.
Wakati nikawa hapa ofisi naandika msg, nimesikia makelele kwa nje, nikatoka mpaka barabarani rangi 3 round about! Sijaamini nilichokiona, wale majambazi wamekamatwa, askari wanawapiga, huku raia wanashangilia. Ilipita helkopter ya polisi muda kidogo, ndio imesaidia kuwakamata wote. Hawa majambazi walikuwa wamejipanga, kumbe walitega mpaka mabomu, askari wanaogopa kuyafuata ili wayategue. Hatari
Hongera kwa jeshi la polisi, leo wamenitoa kimasomaso.
NB: Watu wawili wameuwa, na fedha walibeba na viroba.