Hii ya KADCO ilitokea kipindi cha Mwinyi 1990s nafikiri ilikuwa second termUchunguzi wa kina ni lazima ufanywe kubaini KADCO iliyokodishiwa Kilimanjaro International Airport kwa $ 1000 kwa mwaka, inamilikiwa na nani? Huenda wanahisa ni hao hao washirika wa BWM ktk Kiwira Coalfields purchase.