Benjamin William Mkapa nimjuaye...

Uchunguzi wa kina ni lazima ufanywe kubaini KADCO iliyokodishiwa Kilimanjaro International Airport kwa $ 1000 kwa mwaka, inamilikiwa na nani? Huenda wanahisa ni hao hao washirika wa BWM ktk Kiwira Coalfields purchase.
Hii ya KADCO ilitokea kipindi cha Mwinyi 1990s nafikiri ilikuwa second term
 
jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. hata wewe unaeona mapungufu una pande mbili ya maisha yako. una mazuri na mabaya. kabla hujasemea boriti katika jicho la mwenzio toa kibanzi kilichoko katika jicho lako.

aiseeee jamaa wameandika kwa mahasira. inaelekea jamaa wanaishi maisha ya shida sana maana kuwa na maisha ya kuangalia vitu vibaya tu lazima uwe na negative perceptional mind.

mtunzi angemalizi kwa kusema hakuna aliye kamili alipopotosha tuparekebishe na tujifunze kutokana na makosa ya mwenzetu tusiyarudie.

sikonge ameandika hivi:

ALiuza mashirika yote ya Tanzania.

Akajipa mgodi wa Kiwira.

Akajipa nyumba za serikali.

Akawapa Wazungu migodi yetu na ardhi ya bure wachimbe madini.

Akauza Kilimanjaro Hotel mara tatu na huku sasa twalipa fidia wale wawili wa mwanzo.

Akawapa Wajanja kiwanja cha ndege cha KIA kwa bei ya dola 1,000/ kwa mwaka.
aka-EPA hela zetu bale BoT.

Aka DEEPGREEN hela zetu.

Aka MEREMETA hela zetu na madini.

Kama hiyo haitoshi, akaanza kushirikiana na wajanja wachache kuuza silaha ili majirani zetu wachinjane huku akilitumia JWTZ na usalama wa Taifa. Akitumia JWTZ, alinunua RADAR kwa bei ya juu kuliko inavyotakiwa. Akajinunulia na dege bofu bofu.

Alim-fisadisha Mzindakaya ili a-shut up.

Na hii yote na yote uliyoandika na yale yote hatukuyaandika, ALILIPWA MSHAHARA WA WALIPA KODI. Makonde siku moja atakiona cha ntema kuni njomba.

sa wewe unasema alipokosea tuparekebishe. yaani turudishe nyuma hayo mambo yawe hayakufanyika? kama kuna meremeta tayari imemeremeta na kama kuna deepgreen imeshakuwa hivyo

na shida ingine hayo yalikuwa mambo yaliyokuwa yanafanyika katika kipindi kirefu. si rahis kusema ilikuwa bahati mbaya. ni mambo yaliyokuwa yanapangwa kwa kipindi kirefu - ishara kuwa ilikusudiwa. si mambo ya kukurupuka hayo

tukiacha mambo hivi hivi hata kikwete akiibuka na vimeremeta vyake, vi deep green vyake, virada na nk. itabidi tuje tumezee mate pia. lasivyo wenzetu waislam au wale wa bwagamoyo anakotokea watalalama tunamwonea 'mtu wao' wakat benm tulimwachia

halaf baadae atakuja mwingine ataboronga nae tutasema poa mwacheni maana amejenga uwanja mwingine wa mpira au kaleta kombe la mpira tz au waliotangulia hawakufanywa kitu walipoharibu etc etc etc etc etc

ndo tunavyotaka?
 
Jasusi,
Mkuu maneno yako mazito sana hasa pale uliposema Mkapa ni Kuku anayekula mayai yake..Hii kiboko mkuu yaani inaingia kila mahala alipogusa, inabidi kuitumnguia kitabu.
 
Yes I said it.

Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.

Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).
 
Yes I said it.

Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.

Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).

Inategemea jinsi unavyoutafsiri na kuuelewa ufisadi kwa upande wako.

Vinginevyo tafadhali mwambie mama akufunge nepi na akupe chupa yako ya maziwa ukalale.
 
Yes I said it.

Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.

Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).

We mwenyewe ni fisadi.Umeshapewe fedha toka kwake unajifanya kuja kumsafisha hapa,hapa asafishwi mtu kwa style hii.
 
Yes I said it.

Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.

Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).


Duh..mkuu huyo aliyekutuma ni bora ungemuomba akuandie kwenye kikaratasi ujumbe wa kuja kuweka hapa...maana kwa stahili hii ujumbe wake haujafika.
 
Yes I said it.

Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.

Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).

Umechelewa sana kuleta utetezi wako mbuzi.
Hata hivyo nakupongeza kwa dhati kwa uaminifu wako mkuu kwa mkuu wa zamani.
Dokezo wenzi wako sasa hivi wanajipitisha kwa mkuu wa sasa kuliko kutumia nguvu zao kwa mkuu wa zamani.
Nakusifu.
 
Umechelewa sana kuleta utetezi wako mbuzi.
Hata hivyo nakupongeza kwa dhati kwa uaminifu wako mkuu kwa mkuu wa zamani.
Dokezo wenzi wako sasa hivi wanajipitisha kwa mkuu wa sasa kuliko kutumia nguvu zao kwa mkuu wa zamani.
Nakusifu.

Madela,

Ni convention wisdom kwa wengi hapa kutafuta favor na mkuu wa sasa huku wakitumia kila wanachoweza kumponda na kumchafua mkuu aliyetoka. Lakini pamoja na hayo, ukweli na uwazi wa forum hii lazima pia ufuatane na facts na sio vinginevyo.

Au wewe unasemaje?
 
Back
Top Bottom