Benjamin William Mkapa nimjuaye...

Benjamin William Mkapa nimjuaye...

Solomoni kama haujatumwa basi utakuwa unatafuta umaarufu umu JF speed ya ajabu.
Hoja nyingi zimeshainishwa umu JF juu ya ufisadi wa Mkapa cha msingi chukua hoja moja na kwenda ingine uku ukizipinga kwa facts sio blaa blaa blaa.
Ila sikushangai bse ata bungeni wameazimia kumsafisha kiasi cha ata kuamua kuurudisha mgodi wa Kiwila serikalini.
 
Kikwete alíngia ikulu kwa kasi kubwa ambayo ili wezesha kumfunika na kumsahau BMW tofauti na BMW alivyo mfunika MWINYI(Mwinyi hakusahaulika ktk kipindi cha MKAPA).
Watu wakamsifu kikwete naye kajisahau,mashirika binafsi na NGO zikaacha kupiga kelele kama ilivyokuwa kipindi cha MKAPA Utadhani matatizo yaliisha hapo ndipo KIKWETE AKAZIDI KUVIMBA KICHWA.
Kadri muda unavyozidi kwenda, BMW anakubukwa kwa mazuri ambayo yanachafuliwa na mabaya yake kama binadamu.
Mkapa alirudisha hadhi ya Ikulu,leo ikulu imekuwa ni sehemu ya faragha mafisadi kukutana na kujadili namna ya KUIFILISI TZ. Naweza kusema kuwa,MKAPA aliingia baadhi ya mikataba bila kujua madhara yake hili KIKWETE ALIKIRI KUWA TZ HAINA WATAALAM WA KUINGIA MIKATABA YA KIMATAIFA NA akaomba nchi za SCANDINAVIA ZIMSAIDIA WATAALAMU lakini bado mikataba ya ovyo
 
Mara milioni mkapa kuliko kikwete

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Mmeashau,mkapa aliondoa teaching alowance ya walimu ambayo ilikua sawa na nusu mshahara wa mwalimu,akawadanganya anaiingiza kwenye mshahara,kitu ambacho si kweli mpaka leo.
Walimu wote tanzania hawayamsahau mkapa kwa hilo.
 
Let us wait for Magufuli,although i guess Magufuli will be the worst president ever..
 
Shairi ungeanza:-

ALiuza mashirika yote ya Tanzania.

Akajipa mgodi wa Kiwira.

Akajipa nyumba za serikali.

Akawapa Wazungu migodi yetu na ardhi ya bure wachimbe madini.

Akauza Kilimanjaro Hotel mara tatu na huku sasa twalipa fidia wale wawili wa mwanzo.

Akawapa Wajanja kiwanja cha ndege cha KIA kwa bei ya dola 1,000/ kwa mwaka.
aka-EPA hela zetu bale BoT.

Aka DEEPGREEN hela zetu.

Aka MEREMETA hela zetu na madini.

Kama hiyo haitoshi, akaanza kushirikiana na wajanja wachache kuuza silaha ili majirani zetu wachinjane huku akilitumia JWTZ na usalama wa Taifa. Akitumia JWTZ, alinunua RADAR kwa bei ya juu kuliko inavyotakiwa. Akajinunulia na dege bofu bofu.

Alim-fisadisha Mzindakaya ili a-shut up.

Na hii yote na yote uliyoandika na yale yote hatukuyaandika, ALILIPWA MSHAHARA WA WALIPA KODI. Makonde siku moja atakiona cha ntema kuni njomba.
Sikonge bado upo hai mzee nikununulie japo mbege bohora????
 
Binafsi Hasa Katika Mpango Wa Mmess Na Mmem Ndipo Alifanikiwa Hasa Kwa Kuweka Miundombinu
 
Nipo Mkuu nakula nyama pori na gongo huku Sikonge.

Ni raha tupu. Karibu sana. Ila sasa hivi naona Mkapa ni cha Mtoto kwani Kikwete kafunga kazi.

Sikonge bado upo hai mzee nikununulie japo mbege bohora????
 
Nipo Mkuu nakula nyama pori na gongo huku Sikonge.

Ni raha tupu. Karibu sana. Ila sasa hivi naona Mkapa ni cha Mtoto kwani Kikwete kafunga kazi.
Mkuu sikonge kipindi unapost ile post mimi nipo darasa la 7!!!!!!! Zamani kweli kweli..... Ila kikwete kamfunika huyu BMW aise yaani regime ake twiga alipanda alipanda nfege.maadam imeshapita hebu tumwachie magufuli tuone naye atafanya nini?😹
 
nilimpenda sana lakin kampen za mwaka huu zimemchafua kwa lugha aliyokuwa anatoa,nilidhan katumwa
 
Mkuu sikonge kipindi unapost ile post mimi nipo darasa la 7!!!!!!! Zamani kweli kweli..... Ila kikwete kamfunika huyu BMW aise yaani regime ake twiga alipanda alipanda nfege.maadam imeshapita hebu tumwachie magufuli tuone naye atafanya nini?
Humu ukizubaa unaweza kukuta unabishana na mwanao na matusi anakutukana pia.
 
kwa sababu J.k alikuwa zama za digital mkapa nae kafanya madudu mengi sana kulikvwa hamna uhuru wa vyombo vya habari

hii ndio point kubwa ambayo watu hawajagundua laiti Jf ingekuwepo wakati ule na uhuru ukawepo kama wakati wa jk tungesikia mengi.
 
Back
Top Bottom