ALiuza mashirika yote ya Tanzania.
Akajipa mgodi wa Kiwira.
Akajipa nyumba za serikali.
Akawapa Wazungu migodi yetu na ardhi ya bure wachimbe madini.
Akauza Kilimanjaro Hotel mara tatu na huku sasa twalipa fidia wale wawili wa mwanzo.
Akawapa Wajanja kiwanja cha ndege cha KIA kwa bei ya dola 1,000/ kwa mwaka.
aka-EPA hela zetu bale BoT.
Aka DEEPGREEN hela zetu.
Aka MEREMETA hela zetu na madini.
Kama hiyo haitoshi, akaanza kushirikiana na wajanja wachache kuuza silaha ili majirani zetu wachinjane huku akilitumia JWTZ na usalama wa Taifa. Akitumia JWTZ, alinunua RADAR kwa bei ya juu kuliko inavyotakiwa. Akajinunulia na dege bofu bofu.
Alim-fisadisha Mzindakaya ili a-shut up.
Na hii yote na yote uliyoandika na yale yote hatukuyaandika, ALILIPWA MSHAHARA WA WALIPA KODI. Makonde siku moja atakiona cha ntema kuni njomba.