Hao ni BBC, kwani Mbiowe ndiye anamiliki BBC?Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana...
Amemaliza kwa kusema tujipange, hapo hujaelewa tu?Kwahiyo unashauri tupambane kurudi daraja la chini ili tuendelee kusaidiwa?
Mkuu kuna watu unajiuliza huko shule walifuata nini?Hivyo ndio alivysome?
Mkuu ndani kwa ndani nilikuwa nawaza Kama wewe Ila nikaogopa kuandika kwa hofu ya kutukanwasijui ni mimi?
nahisi hawa "mabeberu" wame factor up per capita income yetu makusudi ili tule jeuri yetu baada ya kusikia tunajiita eti "matajiri"!
Duh....!Siasa za kibongo hatari sana,yan mtu amechukia kabisa nchi yake kuingia low mid income
Ni kweli.
Lakini kweli kuna nchi inayofurahia kuwa maskini ili ipate misaada?
Kama kuna sababu za kusikitikia kupanda daraja, binafsi sizioni hizi kuwa za muhimu.
Ndio, ni kama kijana kabalehe, kawa mtu mzima, acha akapambane na dunia. Pengine tukipata ugumu huo, ndio akili itatuingia vichwani.
Kubishana na chadema utaua MB zako za akili bure!!Kwahiyo unashauri tupambane kurudi daraja la chini ili tuendelee kusaidiwa?
Wewe ulienda shule kusomea ujinga. Uzi mfupi na uko clear kabisa lakini umeshindwa kuelewa?Kumbe ilitupasa kujivunia ufukara.!
Mkuu usishangae hili la nchi kupanda daraja kiuchumi.... Tanzania kuna watu wana akili za ajabu sana, imagine wapo wanaosikitika COVID19 kutokuua watu wengi. Mtu mzima wanatamani vifo vya COVID viwe vingi ili rais aonekane ameshindwa kazi, sad.Mkuu kwani kwenye huu uzi kuna mtu anasikitika Tz kupanda daraja?
Umetoa mfano mzuri sana, na ndivyo kama nchi tunatakiwa sasa kupambana na hali yetu. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayefurahi nchi kuwa ombaomba.
Hivi umeshindwa kuelewa nini?Kwa hiyo wewe kamanda wa Mbowe unataka tupambane ili turudi uchumi wa chini tupate upendeleo?
Nimepitia mitandaoni nimeona hiyo kitu bro,cha kupaswa kujua vitu kama hivi vitakuja kusaidia vizazi vyetu vijavyo,iwe mid income,iwe sgr iwe ndege etc,ila wengi wetu tunajiangalia sisi tu atuangalii miaka 30 mbele na ndio maana tunapinga tuDuh....!
Sijaona kwenye hii mada mahali kuna chuki.
Ni hatua nzuri tumeingia, lakini tunatakiwa tujipange sawasawa, kuna vitu tutakosa hivyo tunatakiwa kuchapa kazi zaidi na zaidi.