Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta video imefika 200 mm nifunge ACC forever 😅😅😅😅 ikiwa Mombasa to Nairobi 470km inachukua 6 hours ni sawa na average ya 80km/hr lini ilifika 200km na lini itafika hio speed
Yes treni lao la SGR linatumia masaa sita kutoka Nairobi hadi Mombasa...ushahidi ni hii video hapa chini mkenya mwenzao kasema wametumia masaa sita hapo dakika ya 3:26


View: https://youtu.be/1x-uOPEQ8nE
 
Tanzania huiwezi kwenye soccer mkuu, we plan to build 4 new stadia, Mkapa (renovation), Uhuru (renovation), Arusha, na Dodoma. Mind you we also have Amani stadium and Azam complex, both are CAF approved stadia, ni matusi Kenya kujilinganisha na Tanzania kwenye soccer facilities.
CAF approved Stadium 😂😂😂

IMG_0157.jpeg
 
Hio dash inaweza kusoma hata 300kph onesha video ikienda hio 200kph. Kuna VW Golf 2.0Fsi dash inasoma 260kph na kuna Nissan Patrol Y62 dash inasoma 240kph. Hio VW haizidi 210kph wakati hio Nissan inamaliza 240kph ndani ya muda mfupi sana. I'm talking from experience!
Huyo anaweza kuweka hata rpm ya fossil engine ukaambiwa speed ni 3000kph 🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom