Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vyakwenu viko wapi mbona mnaenda Malawi kuomba uwanja wa kuchezea
AVA is assembling more than 3,000 vehicles in a year.

Wavumilieni wamechanganyikiwa Sana 😅

Yani wameumia Sana na hii taarifa 😅😅😅


View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1788835146331820302?t=cd3TMJ09aIshZl9tCAnM7g&s=19


Makwapa
Aman
Azam Stadium

Makwapa na Aman ndio at least zimejaribu. Zingine zote kuanzia Azam ni shamba ya kupandia ndizi😂😂
 
Sasa inatakiwa ujiulize swali dogo tu, kama mna streaming channel nzr why Azam akaja ku take over huko kwenu? Mwaka wa 2024 na bado foreign broadcaster ana take over kwenye soccer industry yenu? Sisi huku kwetu tulimtoa msauzi tukamuweka mzalendo nyie mpaka leo mnampa haki zote mgeni really? Na ameingia mkataba wa pesa nyingi $7.6M pesa ambayo hakuna channel yoyote inaweza kutoa hapo Kenya.
Manchester City is sponsored by Etihad airways while there are bigger companies in UK than Etihad Airways ningekuambia ujiulize lakini najua your foolish and you can't think beyond food and uzalendo.
 
Sawa lkn kwa sasa haiwezi kuifikia Azam hata iweje mzee, KBC ni government owned, Azam ni private owned kiafrika Africa shirika haliwezi kushindana na private company hata iweje mzee.
But KBC is bigger than Azam. KBC is injecting more money in Kenyan league than Azam.
 
Manchester City is sponsored by Etihad airways while there are bigger companies in UK than Etihad Airways ningekuambia ujiulize lakini najua your foolish and you can't think beyond food and uzalendo.
Sasa mbona unajijibu mwenyewe, jibu ni kwamba hakuna broadcasting company Kenya inayoweza kwenda toe to toe na Azam, no wonder Azam ametoa pesa ndefu kuifufua ligi yenu iliyokufa na bado hamshukuru mbwa nyinyi.
 
But KBC is bigger than Azam. KBC is injecting more money in Kenyan league than Azam.
Show us KBC Decoders

1715425162478.png
 
Sasa mbona unajijibu mwenyewe, jibu ni kwamba hakuna broadcasting company Kenya inayoweza kwenda toe to toe na Azam, no wonder Azam ametoa pesa ndefu kuifufua ligi yenu iliyokufa na bado hamshukuru mbwa nyinyi.
$7.6M in 7 seven years ni ndefu?😂😂😂

KBC is doing $1.2M every year for 7 years. Total amount the KBC will be giving out is $8.4M.

Again KBC has been broadcasting KFK matches every year.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom