Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Joho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World



View attachment 2947477
Ndio wanatakiwa wachague ww unataka wafanye nn 🤣🤣🤣 kwani Nani amekwambia gati zote za dar hazimilikiwi na serekali ya Tanzania, tofautisha kuendesha na kumiliki, DP world iko mpaka marekani inaendesha bandari za marekani, Malaysia, Singapore, Egypt etc

Swali ni kwann kachagua dar port na sio Mombasa port , ntakupa homework kaa chini ujiulize Sana alaf aniletee majibu 🤣🤣
 
Mombasa nzuri kweli. Tena inakuja kwa uzuri.
FB_IMG_1711353338077.jpg
 
Najua ni ignorance uko nayo kwa wingi
Hio ndio maana hujaleta Precision air. Ulijua utachapwa viboko. Shida hukufanya research kujua kwamba Kenyans own your Tanzanian registered aircraft and airline companies 😂
Sit and learn
View attachment 2947495
Hii uppercut umemtembezea lazima apotee miezi miwili. Kazi nzuri Sana umefanya manake mimi posts zake huwa sizisomi ndo maana imenipita.
 
Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483
Kenya mna uwanja wenye hadhi ya Mkapa??
HIlo ni carpet la running track umeona pitch au tukuoneshe??
Huo uwanja ume host mashindano makubwa ya CAF.
Hata CAF kukubali Afcon kuwa hosted East Afrika ni kwasababu ya huo uwanja.

Mna mashindano gani makubwa ya Caf mliwahi host?
 
Kenya mna uwanja wenye hadhi ya Mkapa??
HIlo ni carpet la running track umeona pitch au tukuoneshe??
Huo uwanja ume host mashindano makubwa ya CAF.
Hata CAF kukubali Afcon kuwa hosted East Afrika ni kwasababu ya huo uwanja.

Mna mashindano gani makubwa ya Caf mliwahi host?
Wanasubiri Turubai la msiba huoni washaweka kambi huko kila siku wanahesabu, sie Arusha hatuna habari nayo, sababu kuu hatujawahi feli kwa miradi ya maana.

Muda huu pale rufiji kuna jitu linaunguruma, na shombo sio vilee.
 
Kampuni ambayo bado uwekezaji unaendelea sio Tatizo kubwa, Tatizo liko kwenu wenye ndege tatu chakavu alaf loss iko over 23b ksh kwa zaidi ya miaka 11 munaendesha hasara ikikadiriwa kufika 250b ksh kwa miaka yote ambayo hio pesa unaeza kujenga reli kutoka naivasha mpaka malaba SGR 😂😂😂😂
Huoni tatizo kwa taifa maskini linalotegemea grants (misaada) na mikopo ya shs 5.4T kila mwaka kujaza bajeti kuzamisha ushuru wake wa shs 3.6T kwa biashara ambayo haina faida yeyote kwenye uchumi na mwananchi.
 
90% of Aviation companies in Tanzania ni za wakenya. Hata hiyo ATCL wakilist on stock market wakenya watainunua.
Wow!… basically Bongolalas are our bitches… never knew that.. I guess we should just call them 254 owned bitches… 🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom