Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yah gati imekamilika karbia mwaka sasa , bila iyo gati mpya iyo meli ikitiaje nanga hapo
Acha kuzingua,gati imekamilika kwenye mwezi wa 12 mwaka Jana sio mwaka....

By the way ujenzi wa barabara ya kuunganisha na gati jipya utaanza mwaka ujao ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-192531.png
    Screenshot_20220528-192531.png
    65 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220528-191859.png
    Screenshot_20220528-191859.png
    175.5 KB · Views: 11
Mwamba wa chato akiendesha mwendo kasi ๐Ÿ‘‡. Magufuli akiendesha boti ๐Ÿ‘‡. Magufuli akiendesha gari ya kawaida kwa speed kubwa ๐Ÿ‘‡ . Magufuli akiendesha pikpiki ๐Ÿ‘‡ . Mwamba alikua mwerevu hasa

Mwamba kama Mwamba ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ..

Huyu na yule wa kupiga sarakasi kuna tofauti ipi? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 

Attachments

  • Screenshot_20220526-121511.png
    Screenshot_20220526-121511.png
    164.3 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220526-121519.png
    Screenshot_20220526-121519.png
    182.3 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220526-121938.png
    Screenshot_20220526-121938.png
    318 KB · Views: 14
Battle ni dar vs Nairobi turudi kwenye jambo lilitotuweka hapa...niliwahi kusema hizi habar ila jamaa amekaza sana haelewi,mahaba yamemzidi
Mbona huwaambii hao mafala wenzenu?

Tuko awamu ya 6 ,tuna post mambo yanayofanywa na Serikali..

Wakileta ligi na sijui kuponda na kulinganisha lazima zijibiwe accordingly..
 
Hili taahira hovyo kweli, eti anasema JPM kaanzisha bila kumaliza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anataka amalize akiwa kaburini? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Unajenga nyumba inafika hadi hatua ya kuweka mbao .. yan bado kuwezeka bati tu...unafariki afu ndugu wanaanza kulalamika mbona hakumaliza kuweka bati..
Au anatokea ndugu anamalizia kuweka bati..mnaona alieweka bati kafanya la maana kuliko aliejenga msingi wa nyumba hadi kufikia hatua ya kuweka mbao..
Haingii akilin lbda uwe mwehu
 
Unataka kusema kdf haijawahi kuvunja matofali kwenye maonesho?
Siku wakiwaonyesha wakivunja matofali watabadili gear angani. Ila kama komandoo na mkufunzi wa GSU alimkimbia jambazi mwenye panga unategemea wana mafunzo gani Kaka?
 
We jamaa unaakili ndogo sana
Watu kama ww hatuwataki kwenye hii forum
Sasa hapa amedanganya nini hizi records si zipo tangu mwaka juzi? Jamani hata kama kuna agenda ya kusifia tusifie kwa usawa. Kwani hawezekani kusifia pasipo kusema sijui mwendazake/Magufuli this and that??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom