Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna electrified SGR, hamna cable stayed bridge, hamna BRT, hamna any CAF and FIFA approved facility, hamna EMU, hamna chakula, hamna big truck assembly plant like us, hamna akili, hamna ustaarabu, mnawezaje kuwa sawa na Tanzania?
Hawana proper bus stations pia, viwanja vyao vya mpira havina LED billboards, hakuna VAR 🤣🤣🤣🤣
 
You guys never cease to amaze..😁…. Mnaleta streets za Dar with no markings or street parking… instead of defending that photo itself… unaluka mpaka Arusha to console yourself… 🤣🤣🤣… Now I want to see this Arusha also…leta tucheke..🤣🤣🤣
Mimi nimeandika vile kuonyesha vitu mnavyovishadadia vilivyo vya kijanga!
Tujenge mirad ya mabillion tushindwe kupaka rangi kandokando ya barabara?
Kenya kuna elimu kweli!!! Huwa nasoma arguments zenu hapa kimya kimya nashang'aa hamna kitu kichwan.
 
Walahi … i seriously hope AFCON attendees land in Dar at night… Lord have mercy….😳😳😳
Hiyo usiku pia watakumbana na hii taswira.
1707651067540.jpg~2.jpg

Hali ni Tete usiku na mchana 😂😂😂
 
But ni worse than Zimbabwe, karne hii nchi mnaomba chakula kweli? Na bado mnamiliki ma slums makubwa makubwa duniani, kibera alone ina accomodate more than 2.5 mil slum dwellers na bado uko hapa unabishana na mtanzania, can you imagine 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mbona kidogo hiyo? Kibera has six million people as you can see below
Screenshot 2024-05-09 073803.png.jpg
 
Mimi nimeandika vile kuonyesha vitu mnavyovishadadia vilivyo vya kijanga!
Tujenge mirad ya mabillion tushindwe kupaka rangi kandokando ya barabara?
Kenya kuna elimu kweli!!! Huwa nasoma arguments zenu hapa kimya kimya nashang'aa hamna kitu kichwan.
Mfumo wao wa elimu ndio shida mkuu mimi wala siwalaumu hao products wa huo mfumo.
 
Back
Top Bottom