Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 8,645
- 25,003
Hakuna kuwaacha hadi waombe poo ๐๐๐
Hakuna kuwaacha hadi waombe poo ๐๐๐
So that's your source? ๐
Hilo swali uliza Kassim Majaliwa
Muulize Mama Ngina nani aliahidi hivyo, na hiyo picha aliiweka naniSo that's your source?
Yeye ndiye alimleta huko Nairobi au sioHilo swali uliza Kassim Majaliwa
Labda ni yeye coz he knew how much Magufuli alikuwa akichapa kazi wiki mbili bila kuonekana wala kusikika
Kwamba mtu hawezi kuchapa kazi leo alafu kesho akafa, Wakenya hamna akiliLabda ni yeye coz he knew how much Magufuli alikuwa akichapa kazi wiki mbili bila kuonekana wala kusikika
Huyo jamaa sidhani kama yupo sawasawa kichwani mwake,Kwamba mtu hawezi kuchapa kazi leo alafu kesho akafa, Wakenya hamna akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Accounts zote za wanaharakati wa Tanzania ndio zilitoa fununu kuhusu afya ya Magufuli, msichojua ni kwamba waliondaa huo uvumi ni TISS wenyewe hiyo yote ikiwa ni mbinu ya kuwaandaa Watanzania kisaikolojia
Huwezi kuacha kuwaamini inner TISS informer umuamini Slum dweller wa kaliadudu blogspot
Kwa usafiri upi ? Huu auView attachment 2033181
Hilo jamaa taahira sana ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ eti kiongozi wa nchi asafiri na private company tena akiwa mahututi ๐๐๐๐na ukimuuliza pilot wa hio ndege atakuambia sisi hatukuona sura yake..lkn tulisikia perfume yake.. na mke wake aliesafir nae hatukuona sura yake maana alijifunika na kilema kuanzia utosini kichwan hadi shingoni
mtu ambaye hajui kesho atakula nini hawezi kuniambia kitu, pambaneni na njaa kwanzaThey are building the likes of Nyayo Estate that we built in the 90s. Hawa watu huwa wanasema eti tunawadharau. The truth is that we don't, ni ukweli tu ndio hawapendi kusikia. It's now that they are doing projects that we already did more than 20 years ago and the funny thing is that they are in celebration mode! Very funny to say the least
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃBarabara kali hamna mabanda kuna markings and side walks . Hii ni lami au masizi.
An equivalent of this in Tanzania is an untarmaced road. Hapo Dar ukishatoka main road hakuna Lami kabisa - hata kwa mitaa ya Kifahari kama Oyster Bay na Mbezi.๐ฎ๐ฎBarabara kali hamna mabanda kuna markings and side walks . Hii ni lami au masizi.
Mauti mnayajua leo sio nyie mbuzi mnae mock kifo cha JPM kila siku apaYani mtu anafurahia hadi mauti!