Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania ambao wamejaa Kenyan section ya jamii forums wanakuanga na very low IQ. Yani argument zao ni za kipuuzi tu. Jamaa anasema tu kitu bila evidence ilimradi kujaza uzi tuu. Yani sometime inabidi una log off usiambukizwe ujinga na watanzania hapa.
Hapa ni base ya kuchilax and having fun ukichambua baseless arguments na vioja kwa wingi., Many are totally clueless.
 
Hii Jf ni ya watz co ya Wakenya, hii kenyan section iliwekwa na mTz manake co kwamba founder ni mkenya, so nyie wakunya mkiona hampendezwi nayo ondokeni, mm nataka nyie wote muondoke humu ndani tubaki pekeetu tupeane vitasa.
Ukweli imekutesa kiwango hiki?😂😂😂😂, jf sihami ng'o😜., lazima nikutandike na ukweli with undeniable facts, yaani beyond any reasonable doubt, ni ulcers tu naona utapata., zoea masaibu upone stress., develop thick skin idiot uwache kulia lia na matusi unapo "finywa"😂😂😂😂.,

Nyonya moto pole pole, relax😂😂
FB_IMG_16339255415820611.jpg
 
Geza Ulole alikuwa mtu anayeheshimika sana kwenye hili jukwaa ila nimekuja kugundua ni mtu mmoja mpuuzi sana, atanisamehee kwa kauli yangu licha ya umri wake...
Hampendi mtu yeyote yule anaye challenge fikra zenu ama kuwaambia ukweli, yaani mnataka anyone who pleases u and agrees with your position, ata kama ni porojo or skewed reasoning, it is prudent and a sign of maturity to accept divergent views without considering an individual to be an enemy, just because he/she is opposing your perception of things.., wengi mko na utoto wa kishamba sana.
 
Which economy ile ya kupika kwenye karatasi ya kufungia vitumbua
Wewe unaendelea kudhibitisha kua Wadanganyika mataga walio apa jamii forum's mna IQ ndogo sana. Sasa uchumi wa makaratasi ndo nini jameni? Kwa hiyo mimi nikisema uchumi wa watanzania ni wa tissue paper ntakua nmekosea?
Na construction board ya nairobi expressway ndo hii apa
JamiiForums1424198126.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums476800368.jpg
    JamiiForums476800368.jpg
    163.9 KB · Views: 1
  • tapatalk_1634488871339.jpg
    tapatalk_1634488871339.jpg
    68.3 KB · Views: 1
FIFA Rankings mpya zinatoka kesho, nimefanya calculations nataka nione kama zitafanana na zao hio kesho tar 21 October

Tanzania
Old points: 1115.37
New Points: 1115.81
Change: +0.44

Kenya
Old points: 1205.12
New Points: 1170.82
Change: -34.3

Uganda
Old points: 1288.85
New Points: 1297.35
Change: +17.5

Rwanda
Old points: 1129.37
New Points: 1096.86
Change: -32.51

  • Rwanda walikuwa wametuzidi points na ranking, ila zitakazotoka kesho, tutawazidi points na ranking
  • Hizi nimepost tu, kesho zitakapotolewa nitarud kuona kama calculations zilikuwa sahihi au la

IMG_2492.jpg

IMG_2493.jpg
 
Back
Top Bottom