Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kipute cha leo ni East Africa vs Egypt
Afu wote tupo home grounds
  • Azam vs Pyramids (CAFCC)
  • Tusker vs Zamalek (CAFCL)
  • URA vs Masry (CAFCC)
IMG_2414.jpg


giphy.gif
 
Kule skyscraper huwa na deal na mambo ya Tz tu, huwa sijishughulishi na habari zenu cz hakuna jipya mtapost, na kama kungekuwa na jipya mngeshapost humu, tofauti ni nn mpk msipost humu, mmeanza kutafuta sababu wapuuzi nyie, mshamaliza picha zote wkt cc ndiyo tunaanza.
Watu kama wewe wenye low IQ hawawezani na forums kama skyscrapercity, stick to your jamiiforums
 
What about irrigations projects, why can't you use your stupid GDP to use underground water and catch raining water during raining seasons?
sio eti kwamba tunapokea msaada wa chakula kama vile South Sudan na Somalia. Ila twainunua sababu, hela tunazo. sawa navile UAE, Saudi Arabia etc. Lakini hata ivo, maziwa na unga wa ngano tz inategemea kenya
 
sio eti kwamba tunapokea msaada wa chakula kama vile South Sudan na Somalia. Ila twainunua sababu, hela tunazo. sawa navile UAE, Saudi Arabia etc. Lakini hata ivo, maziwa na unga ngano tz inategemea kenya View attachment 1976186
Tutegemee maziwa nyie mna ng'ombe? Tz ni nchi ya pili Africa kuwa na ng'ombe wengi, au unaongelea maziwa ya unga ambayo JPM aliyapiga ban

Kwamba ngano na unga tunategemea Kenya, so Bakhressa cku hz ni mkenya? Ukiingia maduka ya Kenya yamejaza ngano na unga wa Bakhressa na bidhaa nyingine nyingi, so ni mkenya yule
 
Tutegemee maziwa nyie mna ng'ombe? Tz ni nchi ya pili Africa kuwa na ng'ombe wengi, au unaongelea maziwa ya unga ambayo JPM aliyapiga ban

Kwamba ngano na unga tunategemea Kenya, so Bakhressa cku hz ni mkenya? Ukiingia maduka ya Kenya yamejaza ngano na unga wa Bakhressa na bidhaa nyingine nyingi, so ni mkenya yule
Ila production yenu wa hizo bidhaa ni kwa uchache mmno sio kama sisi. Infact 90% ya milk powder kwenye supermarkets in gulf countries inatoka kenya. Mfano ni hii hapa ninayo itumia 👇🏽
IMG20211016105953.jpg
IMG20211016110014.jpg
 
Back
Top Bottom