Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehehee wakati huu uzi unaanza mlidhani tunatania, tulikuwa hatusikii habari za kufanya miradi yenu kmy kmy now baada ya kuona sindano zinazidi mnaanza kuongelea mambo ya kmy kmy kwamba cc tumekuwa wageni na tabia za wakunya, jana tu mlevi wenu kapiga picha na Biden mmepost usiku wa saa tisa kwa kihelehele na kupenda sifa za kijinga, eti leo mnafanya miradi kmy kmy iko wapi sasa hyo miradi ya kmy kmy
Tembelea skycrapercity mzee ukaugue
Hutakiee, km interchange ya eldoret ulipoiona jana ukakasirika
 
Expressway kumbe inawafanya watu hawaendi haja kubwa bana
images.jpeg-64.jpg
 
Tatizo la watu Wa Pwani ni legelege sana, uvivu na shule ndio Hawanaga muda nayo na wala sio muhimu kwao. Kazi kucheza vigodoro tu na kunywa ngisi na Supu ya pweza. Miaka nenda rudi.
Wakati nipo Chuo nilijitolea kufundisha Shule moja huku pwani aisee, kama kuna utamaduni wa kipuuzi basi ni Wa pwani. Though there are few exceptional ones huwa wanapambana sana darasani.
Daah naumia sana kila nikiisoma hii reply yako, Watu wa Pwani tumekukosea nini bro!!?
 
Back
Top Bottom