The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,867
- 82,503
Mbona unacomnent kwa uchungu hivyoI was removing dust inside your head.
Mbona unacomnent kwa uchungu hivyoI was removing dust inside your head.
Sasa huku vitambulisho bure na wiki mbili nyingi ushakipataMagufuli alitoa vitambulisho unalipa elfu 20 usumbuliwe mwaka mzima sasa wenye maduka ili kukwepa kodi wakafunga maduka na kuuza nje kisha wanachukua kitambulisho cha machinga,ndiyo maana wamachinga wengi wanamizigo ya vidhan za maana
Sina mda huo..Haaa sasa umerudi mombasa kufanya wakati nairobi ndiyo kenya,kwani ulikuwa unafanya nini? Nairobi au ndiyo ulienda ili kupiga picha utupostie humu JF
Kunguni jungle labda! 🤣 🤣 🤣Inside your concrete jungle
You think we don't know y'all?
View attachment 1942572View attachment 1942573View attachment 1942574View attachment 1942576View attachment 1942577View attachment 1942578View attachment 1942579
View attachment 1942567
Hiyo yote uliyo piga ni sehemu tu ya kakoo ,kuna posta mpya na post ya zamani kuna upanga mashariki na upanga magharibi kuna gerezaniInside your concrete jungle
You think we don't know y'all?
View attachment 1942572View attachment 1942573View attachment 1942574View attachment 1942576View attachment 1942577View attachment 1942578View attachment 1942579
View attachment 1942567
Kama unazijua basi unataka picha ya nini?wacha maneno ya kihuni, leta picha hapa tuone, bus terminal zenu tunazijua
Chai ya moto bila sukari... 😂 😂 😂 Polehuu mji wa nairobi unachekeshaga sana yaani hata video achukue nani na kamera gani ila wapi mji umefubaa,unaukungu giza si giza ,nimecheki video 13 za nairobi ni kichekesho hadi wakenya wenyewe wanalalamika kuwa nairobi bila make up ni kituko ,licha ya hizo video zimefanyiwa makeup wewe tazama video zao ,nakumbuka hata kipindi wode maya katua dar baada ya kutokea nairobi,wakenya walipoona video za dar wakamwabia kuwa kamera yake imeinproof mwenyewe akawajibu kuwa kamera ndiyo ile ile
Duh, hawa jamaa wako ligi moja na wahindi kule Bangla! 🤣 🤣 🤣Only way you can mention superpower and dar is when you referring to the opposite
View attachment 1942581View attachment 1942582View attachment 1942583View attachment 1942587View attachment 1942588View attachment 1942589View attachment 1942586
View attachment 1942585
kicha ww ...inaonekana kila ukiskia ametajwa unatam asaulike...fool...kamulize mamako alivyo uliza juu ya chanjo sauti za JPM zilijibu nini....Jitu la hovyo limeshasahaulika ,tulipigwa na kupata hasara past 5 years..
Saizi tunatembea na Takwimu
View attachment 1942271
View attachment 1942272
View attachment 1942273
Kwaiyo wewe hauna muda wa kuenjoy lifeSina mda huo..
Peleka matak kuwasha kwa nyanyayako...Watanzania wafurahia kifo cha magufuli miezi sita baada ya yeye kufaView attachment 1942333
Na tena wamekopeshwa juzi tena na India baada ya IMF kurusha ndoano kule kwa wahindi. Alafu utamsikia falamaga mmoja akisema "oh, tunatumia hela zetu za ndani kwa ndani, hatukopi" pumbu kama pumbu! Kudadadeki! Nchi kama Amerika inakopa, itakuwa njugu ya nchi ka Bongolaland? 😂 😂 😂 😂Kenya haijaishindwa kulipa kama Tanzania. Kenya haijaisamehewa deni kama Tanzania.
Facts don't lie 😂😂😂ingawa inauma, itawabidi wazoee eh! 🤣 🤣 🤣 BTW, harmonize ni mwizi, alimwibia Stevo 😬😬😬Why should I engage you on matters electricity? Rwanda is far much ahead of Tanzania.
Rwanda 53%
Tanzania 40%
View attachment 1942602
Thanks for talking nonsense.Tanzania ina vyanzo vingi vya umeme kuliko nchi zote za EA na bado tunajenga JNHPP ili tuwe tunaziuzia umeme nchi maskini zilizotunguka ikiwamo Kenya na Rwanda.
Maybe wewe ndio unafeel uchungu and that's why you are hiding behind emojis.Mbona unacomnent kwa uchungu hivyo
Facts ni sumu kwa watanzania. Hawapendi kweli kweli.Facts don't lie 😂😂😂ingawa inauma, itawabidi wazoee eh! 🤣 🤣 🤣 BTW, harmonize ni mwizi, alimwibia Stevo 😬😬😬
bah blah blahhuu mji wa nairobi unachekeshaga sana yaani hata video achukue nani na kamera gani ila wapi mji umefubaa,unaukungu giza si giza ,nimecheki video 13 za nairobi ni kichekesho hadi wakenya wenyewe wanalalamika kuwa nairobi bila make up ni kituko ,licha ya hizo video zimefanyiwa makeup wewe tazama video zao ,nakumbuka hata kipindi wode maya katua dar baada ya kutokea nairobi,wakenya walipoona video za dar wakamwabia kuwa kamera yake imeinproof mwenyewe akawajibu kuwa kamera ndiyo ile ile
Mwisho mtakuja na stori za - "kuna Dar mpya na ya zamani, Mwanza mpya na ya zamani, Zenji mpya na ya zamani" na blah blah blah nyingi zisizo na kichwa wala mkia. 😂 😂 😂 😂Hiyo yote uliyo piga ni sehemu tu ya kakoo ,kuna posta mpya na post ya zamani kuna upanga mashariki na upanga magharibi kuna gerezani
80% of Tanzania total debts are external, they don't have the capacity to finance their country. That's why grants makes 20% of their total revenue.Na tena wamekopeshwa juzi tena na India baada ya IMF kurusha ndoano kule kwa wahindi. Alafu utamsikia falamaga mmoja akisema "oh, tunatumia hela zetu za ndani kwa ndani, hatukopi" pumbu kama pumbu! Kudadadeki! Nchi kama Amerika inakopa, itakuwa njugu ya nchi ka Bongolaland? 😂 😂 😂 😂
Posta mpya ni gani na posta ya kitambo ni gani? Hi hapa with no paved roads ni posta gani?Hiyo yote uliyo piga ni sehemu tu ya kakoo ,kuna posta mpya na post ya zamani kuna upanga mashariki na upanga magharibi kuna gerezani