komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Sasa huku vitambulisho bure na wiki mbili nyingi ushakipataMagufuli alitoa vitambulisho unalipa elfu 20 usumbuliwe mwaka mzima sasa wenye maduka ili kukwepa kodi wakafunga maduka na kuuza nje kisha wanachukua kitambulisho cha machinga,ndiyo maana wamachinga wengi wanamizigo ya vidhan za maana


