Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,209
- 79,459
Heresay
Mwalimu nyerere alikua anaongea kingereza safi akiwa nje kwani alimzuia kua mtanzania mzalendo?Maza anaturudisha nyuma kweli hvi kulikua na haja gani kuongea kwq kingereza kwenye uFID uganda
If that tickles you, more power to you.$26m with zero routes,
Mwinyi alimwambia kiustaarabu tu, aachane na kundi lile, watanzania wanataka miradi imalizike na rasilimali kulindwa.Na tayari kashahisi joto, Mwinyi alienda kupooza betri
Mama karudi DOM
safii aachane wanaotaka kum-distract!Mwinyi alimwambia kiustaarabu tu, aachane na kundi lile, watanzania wanataka miradi imalizike na rasilimali kulindwa.
Aisee mama anapenda kukwea pipa, tofauti na JK aliyekuwa anajibana bana kwenye kale ka Gulfsream yeye anajimwa kwenye li Airbus.
Sa we ni pesa inakutia wasiwasi,😂😂tutalipa na hio expressway na SGR zitabaki nasi forever,,Si ndio maana wachina wanajua kuwanyuka kama walivowafanya kwenye SGR na expressway😀😀😀😀
KQ inaujua utamu wa faida, ndio manake bado wanatafuta mchawi nani ndio irudi katika zama zake za kupiga mpunga..utaelewa siku KQ inazikwa kikamilifu
Atacl bado serekali ina invest haiwezi tegemea faida kwa muda mfupu bado kuna ndege zaidi ya tano zishalipiwa zinakuja bado investment inaendelea leo utafananisha hasara ya ATCL five yrs ni 27m usd against hasara ya kq mwaka mmoja tu 333m usd akili yako iko sawa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣30 years imetia hasara miaka mingapi na faida pia ilipata miaka mingapi, Atcl hata haijui faidia ni nn tangia iumbwe
Hasara inalipwa na nani au unafkiri pesa za mama ngina 🤣🤣🤣🤣Wapi umeona wametumia pesa za tax payers kulipa wenye ndege
Ndio mulidanganywa na kenyataa hvoCorrection 20 owned, 20 leased, buzzing airport, thousands of employees, lots of routes, parking spaces, landing rights, code sharing agreements, experience, have been profitable before what about ATCL zero profits since inception, zero routes