xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,378
The only meaningful thing., haujajibu what was posted earlier., Dar nakusaidia to make your work easy this is it., usijitese saana, nothing here to talk about, we know the key points it revolves., video clips zako hizi hapa.., anything???mkunya anataka kuona dar io apo View attachment 1714589View attachment 1714590View attachment 1714592
Tanzania mwakani tunaingiza timu nne kwenye mashindano ya CAF baran Africa
CAF 5-year ranking - Wikipedia
en.wikipedia.org
pitieni hapo na msome kila kipengele muelewe
hapo kwa association rankings ndo panaonyesha kwa mwaka 2021-2022 ndo Tanzania tutaingiza timu nne
- 2 teams to CAF champions league
- 2 teams to CAF confederation cup
nimeisoma hii na vipengele vyote nimeelewa namna CAF inavyofanya rankings kwenye ubora wa shirikisho za taifa, vilabu na league za taifa
wewe hizingapi? mbona kama umechanganyikiwa?The only meaningful thing., haujajibu what was posted earlier., Dar nakusaidia to make your work easy this is it., usijitese saana, nothing here to talk about, we know the key points it revolves., video clips zako hizi hapa.., anything???
Hauna lolote from Tz utaniambia., mkikosa jibu ni mbio kwa matako ya kenya 😂 😂 😂 😂 , wewe have a good day, nenda kajienjoy.., mko ovyo tu bado, nothing new.wewe hizingapi? mbona kama umechanganyikiwa?
em kanywe chai kwanza
Kwa hali sitoshangaa karne hii ya 21 kunyaland kuwepo na kipindu pinduSometimes Tony huaga unabisha pasipo nakujua hii sio makazi ya watu hapa Chino nimekuekea kabisa unafoka bure
Picha ninazo kibao Sana Nairobi kuchafu mjitahidi kuweka mazingira yenu vizuri
Hivi mrupuko wa magonjwa ukitokea itakuaje?
Pale pale unaposema ni dampu
View attachment 1713311
New York is richest city by farKwani richest city kati ya Dubai na New York ni ipi?
Halafu jiji beautiful ni lipi??New York is richest city by far
Hii ikipigwa pale Msimbazi center Opposite side pale na Brt kwa chini itakuwa jiji la Dar kila kona majengo marefu yame balanceHivi hii Project vipi? Imeshapotea au? Au ndio sababu ya Jpm kuipandisha hadhi Ilala? Feedback pls...View attachment 1714632View attachment 1714633View attachment 1714634
Kweli Sana kiongozi🙂Kwa hali sitoshangaa karne kunyaland kuwepo na kipindu pindu
New York bado ni mwamba kwa kila kitu,Dubai ni pazuri tu kwa miji ya middle east sio top kwa miji mikubwa dunianiHalafu jiji beautiful ni lipi??
😂😂😂😂