Wakenya mmekuwa wapumbavu sn alafu mnaleta utoto, haka kamsemo mmekuwa mnakatumia kama silaha yenu ya kujihami kila siku na ni upumbavu mkubwa huu mnaleta, kwn wewe hujui kwamba Nairobi nzima ni chafu? Picha ngapi zimewekwa humu za Nairobi CBD ikiwa chafu, je hiyo nayo ni Kibera?
Mmekuwa wapumbavu kuichukia Kibera badala mpambane na serikali yenu kuhakikisha inakuwa safi, hata CBD yenu sehemu kubwa ni chafu mno, so inatakiwa mbadilike na muanze kuwa wasafi kuliko kutoa hizi excuses za kitoto na kujiliwaza kwamba tunawaonea ilihali picha zinawekwa humu na zingine ni credible sources from international organization ziki claim how dirtiest Nairobi is.
Wacheni upumbavu jiji lenu ni chafu sana badilikeni anzeni kuwa civilised endeleeni kujenga msilizike na baadhi ya karatasi mnazopambana kutengeneza ili muonekane mko vzr wakati tukiingia ground ni aibu tupu.
Picha mpk za cbd zinawekwa humu na bado mnaendelea kuilaumu Kibera co sawa kabisa badilikeni.