Safi sana.Sana mkuu, Nilikua na Mburundi flani nchi flani, yaani ilikua kama tumetoka nchi moja, kulikua na Ukuta kila mtu anaweka chata la nchi yao, yeye alichora bendera ya Tanzania. Waburundi wapo safi Sana at least wale niliowahi kutana nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
. Waburundi wapo safi Sana at least wale niliowahi kutana nao. 
