Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao jamaa wakivuka boda tu kuingia Tanzania wanajiona wako nyumbani,lkn si hawa ambao wamejazana kwenye mashule yetu na viwandani,ni nuksi,nasikia kuna kibinyo cha kimya kimya cha work permit kwenye sekta ya elimu kinakuja,naombea work permit fee kwa walimu toka nje iwe $4000
Kabisa yaani,

Ilitakiwa iwe nchi moja hata sijui what happened.
 
Hao jamaa wakivuka boda tu kuingia Tanzania wanajiona wako nyumbani,lkn si hawa ambao wamejazana kwenye mashule yetu na viwandani,ni nuksi,nasikia kuna kibinyo cha kimya kimya cha work permit kwenye sekta ya elimu kinakuja,naombea work permit fee kwa walimu toka nje iwe $4000
Hawa propagandist ni kuwapa tu kibinyo cha kimya kimya.
 
the biggest slipway in east and central africa👇👇👇👇
0DDDA147-8152-4F8C-939B-64AF3C10BFF6.jpeg
610F1669-DDBF-4886-9CE2-5CE2D2DEE2FA.jpeg
CD637204-72FE-4442-B4BC-FECC92E552EE.jpeg
 
Hao jamaa wakivuka boda tu kuingia Tanzania wanajiona wako nyumbani,lkn si hawa ambao wamejazana kwenye mashule yetu na viwandani,ni nuksi,nasikia kuna kibinyo cha kimya kimya cha work permit kwenye sekta ya elimu kinakuja,naombea work permit fee kwa walimu toka nje iwe $4000
Itakuwa poa sana, unajua hii nchi ilikuwa ya ajabu sana, WaTz wanafanyiwa usenge huko nchi jirani lkn cc humu tunawadekeza raia wao, huu usenge mm huwa unanikera sn wakuu.
 
Nairobi siku zote itabaki kuwa majuu zaidi ya hii tz.

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom