Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

“Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na Mkeo?, unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana” -JPM
Hii kawatupia Wakenya yaan wanazani Corona haitembei Usiku😁😁😁😁😁
 
IMG_8108.JPG


Dhlaxman Work.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika majirani waliotuzunguka comoro na burundi wako poa kuliko mfano,hao wacomoro wakikanyaga TZ wanajiona ni nyumbani kwao kabisa

Sana mkuu, Nilikua na Mburundi flani nchi flani, yaani ilikua kama tumetoka nchi moja, kulikua na Ukuta kila mtu anaweka chata la nchi yao, yeye alichora bendera ya Tanzania . Waburundi wapo safi Sana at least wale niliowahi kutana nao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom