ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hv hii vita mliyoianzisha Wakenya mnaiweza? Mna msuli wa kuhimili vishindo?
Hana hela ya kumiliki hiyo nyumba, check hiyo nyumba pembeni upande wa pili wa hiyo fensi ya grili, ramani yake ni exactly kama hii nyumba anayojifanya yake, which is like apartments au multiple homes za certain estate zenye mfanano, huyu ndezi sijui anatuonaje.
Kwaivo tuwaache waingie na corona ndo Tanzania isichafuliwe jina?? Ujinga uliopo tz ni level nyingine kabisaWana hakikisha wanaichafua Tz kwa korona Kwani wamepata mwanya ili dunia itutenge,lakini tupo imara
wakenya wamebakia kushuglika na tanzania 👇👇👇👇 hawa watu sijui wana matatizo gani wakati floods imeuwa wakenya over 235people hatuskii wakiongea
badala kukaa kushuglika na majanga yao yasioisha wao bado wako na tanzania tu
kwan hatujui kama kenya ni adui wa tanzania no 1 au mumesahau, munaishambulia na kuhangaika na tanzania wakat floods na njaa zinaua roho za wakenya masikiniKwaivo tuwaache waingie na corona ndo Tanzania isichafuliwe jina?? Ujinga uliopo tz ni level nyingine kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
alaf wanahangaika na tanzania 😂😂 bado locusts sijui wamefkia wapi na waoIt's over 270 deaths now! This muppets were laughing at us when floods destroyed roads n houses in Tanzania thinking they r safe!
Adui no 1 wa Tanzania ni ujinga....90% ya wachangiaji kwenye hili thread wamejaza tu ujingakwan hatujui kama kenya ni adui wa tanzania no 1 au mumesahau, munaishambulia na kuhangaika na tanzania wakat floods na njaa zinaua roho za wakenya masikini
Halafu na huu ujinga wetu tunawalisha wakenya kuanzia vyakula hadi matunda na ndio maana wanjohi anaogopa kufunga mipaka 😂😂😂Adui namba moja wa Tanzania ni ujingaAdui no 1 wa Tanzania ni ujinga....90% ya wachangiaji kwenye hili thread wamejaza tu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
We naona umeponea chupuchupu kusombwa na maji ndo unakuja hapa kutafuta tumaini na mtu wa kukuongelesha akuondolee depression. Boy get your ugly Kenyan ass back to whatever haystack you crawled out ofAdui namba moja wa Tanzania ni ujingaAdui no 1 wa Tanzania ni ujinga....90% ya wachangiaji kwenye hili thread wamejaza tu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
mkiambiwa ukweli munaanza kulia lia hvi munahangaika na tanzania wakat kwenu munaangamia hio ni akili au matope?? mm nafkiri kiazi wa kwanza utakua wewe😂😂Adui no 1 wa Tanzania ni ujinga....90% ya wachangiaji kwenye hili thread wamejaza tu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
malizeni majanga yenu kwanza ndio muje kupambana na tanzania maana munamajanga mpaka kwenye makalio yenuAdui no 1 wa Tanzania ni ujinga....90% ya wachangiaji kwenye hili thread wamejaza tu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn tanzania hakuna mafurikowakenya wamebakia kushuglika na tanzaniahawa watu sijui wana matatizo gani wakati floods imeuwa wakenya over 235people hatuskii wakiongea
badala kukaa kushuglika na majanga yao yasioisha wao bado wako na tanzania tu
wakenya wamebakia kushuglika na tanzania 👇👇👇👇 hawa watu sijui wana matatizo gani wakati floods imeuwa wakenya over 235people hatuskii wakiongea
Post na US Embasy alert ya Kenya kuhusu COVID-19 iliyotumwa leo
badala kukaa kushuglika na majanga yao yasioisha wao bado wako na tanzania tu