Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naomba uzi wake pls kama uko. nataka nijue kuhusu progress yake maana tangu tarehe moja mwezi Mei... niliskia Magu alirusha kijiwe pale na kusema ni kijiwe cha msingi na tusiwe na hofu kwani pesa ziko.
tokea hapo niko kwenye giza aisee....
kulikoni???
tatizo lako nini umeambiwa 2.5 yrs den tulia sasa wenge wa nini????😀😀😀😀😀😀
 
naomba uzi wake pls kama uko. nataka nijue kuhusu progress yake maana tangu tarehe moja mwezi Mei... niliskia Magu alirusha kijiwe pale na kusema ni kijiwe cha msingi na tusiwe na hofu kwani pesa ziko.
tokea hapo niko kwenye giza aisee....
kulikoni???
We uliskia wapi watanzania wanaulizia sgr ya Kenya so tuliza boli 2.5 yrs utaiona tu
 
Naona sasa heshima imeanza kushika hatamu yale makelele ya mwanzo yote yamepotea. Wakenya wametulia kama wamenyeshew mvua.
 
We uliskia wapi watanzania wanaulizia sgr ya Kenya so tuliza boli 2.5 yrs utaiona tu
nyuzi za sgr ya Kenya ziko nyingi mbona??? waKenya hawana siri... tumekamilisha 472km ya sgr kutoka Msa - Nbo... ndani ya 3.5yrs na si siri!!! kila kitu kiko open.
io ya kwenu inayojengwa na 'illusions' mutatuambia kama munaijenga 'mida ya ya wanga' na wachawi kutoka Sumbawanga.
 
Naona sasa heshima imeanza kushika hatamu yale makelele ya mwanzo yote yamepotea. Wakenya wametulia kama wamenyeshew mvua.
tumeona sasa dar wanajenga pedestrian sidewalks na cabros.... hahahaha......
get back at me baada ya kujenga footbridge ya kwanza
 
btw kujenga footbridge ni lazma uwe na highway ya kutajika. so think about it
 
I have been to an Eldoret vs mwanza thread and Eldoret appears even bigger......Tanzanians jameni.....what do you do with your resources? ??honestly?
 
I have been to an Eldoret vs mwanza thread and Eldoret appears even bigger......Tanzanians jameni.....what do you do with your resources? ??honestly?
Bigger..
Stupid,
Tz is two times larger than Kenya (in sq km)
And the populations btn these two countries are comparable..

It is not surprising to see Kenyans cities being larger than tz's (if they are)
Because of population density,
But surprisingly, Tz cities and towns are bigger, many, clean and well organised than Kenya's
 
I have been to an Eldoret vs mwanza thread and Eldoret appears even bigger......Tanzanians jameni.....what do you do with your resources? ??honestly?
these bongolalans need to get recolonised i tell you
 
Bigger..
Stupid,
Tz is two times larger than Kenya (in sq km)
And the populations btn these two countries are comparable..

It is not surprising to see Kenyans cities being larger than tz's (if they are)
Because of population density,
But surprisingly, Tz cities and towns are bigger, many, clean and well organised than Kenya's

Tihahahhaaaaa.... Bigger my foot..... Clean? ? Oh God help this socialist soul understand 1+1=2
 
nyuzi za sgr ya Kenya ziko nyingi mbona??? waKenya hawana siri... tumekamilisha 472km ya sgr kutoka Msa - Nbo... ndani ya 3.5yrs na si siri!!! kila kitu kiko open.
io ya kwenu inayojengwa na 'illusions' mutatuambia kama munaijenga 'mida ya ya wanga' na wachawi kutoka Sumbawanga.
halafu wew inaelekea ni mshirikina sana......

ushindwe
 
Ati mwanza city...Dodoma city...Arusha city....lol.ukiona vitu zinaitwa city jameni....hakuna hata clear and organized residential zone. ...
CBD ndio wameweka 4 glass buildings za kudanganya nayo watu macho....lol.None of their number two cities can match their Kenyan counterparts in terms of real estate sector and roads......do these people question why they are in the Least Developed countries category ama roho zao za wivu na Kenya zimewateka
Then you come to Daresalaam their only hope and expect neat organized residential properties and infrastructure. ....vitu unakuta leaves you wondering. That city ndio wanadai kupima nayo THE GREAT NAIROBI! !!!....
Mlete matusi sasa baada ya huu doze ya ukweli....who's first
 
Pia sisi tuko na jet fighter ministries na logo ni an F16 jet fighter but this one takes it why lie.
trend27.jpg
 
Ati mwanza city...Dodoma city...Arusha city....lol.ukiona vitu zinaitwa city jameni....hakuna hata clear and organized residential zone. ...
CBD ndio wameweka 4 glass buildings za kudanganya nayo watu macho....lol.None of their number two cities can match their Kenyan counterparts in terms of real estate sector and roads......do these people question why they are in the Least Developed countries category ama roho zao za wivu na Kenya zimewateka
Then you come to Daresalaam their only hope and expect neat organized residential properties and infrastructure. ....vitu unakuta leaves you wondering. That city ndio wanadai kupima nayo THE GREAT NAIROBI! !!!....
Mlete matusi sasa baada ya huu doze ya ukweli....who's first
In their defense, Nairobi, mombasa kisumu na eldoret zote zinafit ndani ya dar... Haha that is their consolation trademark.
 
Back
Top Bottom