El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
The famous mama Oliech restaurant in hurlingham
Unaweza kuta bei imesimama kisa tu kashatengeneza jina...The famous mama Oliech restaurant in hurlingham
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
It's not expensive....ni tu normal ratesUnaweza kuta bei imesimama kisa tu kashatengeneza jina...
Tuliza mshono mkuu,mambo yaja,naona huamini hv. ..ziko wapi zile 'electric train' hewa za kutoka dar mpaka moro ???
nimepapenda hapa,next time nikija nairobi nitapita hapo kupata lunch.The famous mama Oliech restaurant in hurlingham
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
pazuri hapa.Hata Zucker anajua hizo bazement.....
![]()
Alaf?football kidogo:
mimi ni shabiki wa simba sc,sina uzalendo wa kuishabikia yanga hata kama inacheza na timu ya kenya.
katika hii game ya leo,naomba afc leopard waifunge yanga.
![]()
Nataka finals ikue AFC na GOR...mashemeji derbyfootball kidogo:
mimi ni shabiki wa simba sc,sina uzalendo wa kuishabikia yanga hata kama inacheza na timu ya kenya.
katika hii game ya leo,naomba afc leopard waifunge yanga.
![]()
kwan nyie mlijenga kwa siku kumi simumejenga 3.5 yrs to 4 yrs au???????😀😀😀😀😀ziko wapi zile 'electric train' hewa za kutoka dar mpaka moro ???
Tulia acha kutujaza upepohahaaa... poor Yanga
naomba uzi wake pls kama uko. nataka nijue kuhusu progress yake maana tangu tarehe moja mwezi Mei... niliskia Magu alirusha kijiwe pale na kusema ni kijiwe cha msingi na tusiwe na hofu kwani pesa ziko.kwan nyie mlijenga kwa siku kumi simumejenga 3.5 yrs to 4 yrs au???????😀😀😀😀😀
yaonesha electric train zinakuumiza sana kichwa bwana mdogo🙄🙄