Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani akiongea Magufuli Watu wanatamani wasikie ameongea nini, Wanatafuta translates kwa kila namna, sasa Uhuru na Ruto kutwa Kubwabwaja Kingereza kibovu, no one cares
Magufuli speaks Swahili only but catching up the whole world attention, kuna Rais anabwatuka kwa English mwanzo mwisho lakini hata haripotiwi na gazeti la Malawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_15877996071147421.jpg
FB_IMG_15887797990559090.jpg
FB_IMG_15887804943246161.jpg
FB_IMG_15873092223942434.jpg
FB_IMG_15803783722467098.jpg
FB_IMG_15878321537648752.jpg
 
Yaani akiongea Magufuli Watu wanatamani wasikie ameongea nini, Wanatafuta translates kwa kila namna, sasa Uhuru na Ruto kutwa Kubwabwaja Kingereza kibovu, no one cares

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ndio famous president from Africa huwa naona hata habari za kawaida tu zikiripotiwa na mataifa ya mbali kama Ghana, Cameron, et

Akiongea na watanzania ukanda huu wote wanamsikiliza
 
...na kumcheka deadly, mzee anachemsha kila uchao., mbio za sakafuni huishia ukingoni., the face of Tanzania as at now., afadhali Nyerere mara mia., hawa wana ccm wa sasa wali derail kitambo, muimbaji Faustin Munishi kawaimba., kwa kweli mumeoza mbaya, hamukombolewi hivi karibuni, haswa masikini walio wengi na fikra finyu kama wewe, with blind patriotism syndrome
Magufuli ndio famous president from Africa huwa naona hata habari za kawaida tu zikiripotiwa na mataifa ya mbali kama Ghana, Cameron, et

Akiongea na watanzania ukanda huu wote wanamsikiliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...na kumcheka deadly, mzee anachemsha kila uchao., mbio za sakafuni huishia ukingoni., the face of Tanzania as at now., afadhali Nyerere mara mia., hawa wana ccm wa sasa wali derail kitambo, muimbaji Faustin Munishi kawaimba., kwa kweli mumeoza mbaya, hamukombolewi hivi karibuni, haswa masikini walio wengi na fikra finyu kama wewe, with blind patriotism syndrome
Magufuli ndio famous president from Africa huwa naona hata habari za kawaida tu zikiripotiwa na mataifa ya mbali kama Ghana, Cameron, et

Akiongea na watanzania ukanda huu wote wanamsikiliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...na kumcheka deadly, mzee anachemsha kila uchao., mbio za sakafuni huishia ukingoni., the face of Tanzania as at now., afadhali Nyerere mara mia., hawa wana ccm wa sasa wali derail kitambo, muimbaji Faustin Munishi kawaimba., kwa kweli mumeoza mbaya, hamukombolewi hivi karibuni, haswa masikini walio wengi na fikra finyu kama wewe, with blind patriotism syndrome

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona Gere
 
Back
Top Bottom