Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Kuna weza kusiwe na sehemu inayofanana exactly na kibera Tanzania lkn bado wengi wetu wanaishi katika mazingira hatarishi maeneo kama tandale buguruni manzese mbagala n.k na maeneo mengine ya miji yetu mikubwa hali si ya kuridhisha tuna kazi kubwa ya kufanya. Anyway we can choose to admit that they are not at a good standard for living na kuyarekebisha taratibu until everything is ok or tunaweza kuendelea kujifariji kwamba yanafaa kwa kuishi.
Yaani mbagala unasema ni maeneo hatarishi???!..manzese,buguruni pia....we kwani unaishi wapi????
Kwa taarifa yako hayo maeneo si hatarishi kama ulivyohadithiwa almost huduma zote hupatikana ktk maeneo hayo kama vile maji,umeme,huduma za kiafya na nyumba bora kabisa za kuishi wanadamu....nenda kibera ujionee watu wanavyoishi,nenda dandora,mukuru,mathare
We unaleta masikhara...yaani mbagala uiwele level moja na kibera????
Acha kuishushia hadhi kibera wewe