Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna weza kusiwe na sehemu inayofanana exactly na kibera Tanzania lkn bado wengi wetu wanaishi katika mazingira hatarishi maeneo kama tandale buguruni manzese mbagala n.k na maeneo mengine ya miji yetu mikubwa hali si ya kuridhisha tuna kazi kubwa ya kufanya. Anyway we can choose to admit that they are not at a good standard for living na kuyarekebisha taratibu until everything is ok or tunaweza kuendelea kujifariji kwamba yanafaa kwa kuishi.

Yaani mbagala unasema ni maeneo hatarishi???!..manzese,buguruni pia....we kwani unaishi wapi????

Kwa taarifa yako hayo maeneo si hatarishi kama ulivyohadithiwa almost huduma zote hupatikana ktk maeneo hayo kama vile maji,umeme,huduma za kiafya na nyumba bora kabisa za kuishi wanadamu....nenda kibera ujionee watu wanavyoishi,nenda dandora,mukuru,mathare
We unaleta masikhara...yaani mbagala uiwele level moja na kibera????

Acha kuishushia hadhi kibera wewe
 
Yaani mbagala unasema ni maeneo hatarishi???!..manzese,buguruni pia....we kwani unaishi wapi????

Kwa taarifa yako hayo maeneo si hatarishi kama ulivyohadithiwa almost huduma zote hupatikana ktk maeneo hayo kama vile maji,umeme,huduma za kiafya na nyumba bora kabisa za kuishi wanadamu....nenda kibera ujionee watu wanavyoishi,nenda dandora,mukuru,mathare
We unaleta masikhara...yaani mbagala uiwele level moja na kibera????

Acha kuishushia hadhi kibera wewe
Hawa wengine tusiwe tunawajibu mkuu, we angalia tu comment yake zen achana naye, cz naye pia ana haki ya kuchangia, cc tuendelee na yetu mkuu.
 
Kuna weza kusiwe na sehemu inayofanana exactly na kibera Tanzania lkn bado wengi wetu wanaishi katika mazingira hatarishi maeneo kama tandale buguruni manzese mbagala n.k na maeneo mengine ya miji yetu mikubwa hali si ya kuridhisha tuna kazi kubwa ya kufanya. Anyway we can choose to admit that they are not at a good standard for living na kuyarekebisha taratibu until everything is ok or tunaweza kuendelea kujifariji kwamba yanafaa kwa kuishi.
utafananisha na upuuzi huu😂😂👇👇
CD27746C-EAB1-43EF-B1C6-7ACA9678033D.jpeg
A938565A-55EB-4968-BC51-1C972C4AAA9D.jpeg
2AE599FC-F548-4506-B55C-D71F38286BB1.jpeg
 
Kuna weza kusiwe na sehemu inayofanana exactly na kibera Tanzania lkn bado wengi wetu wanaishi katika mazingira hatarishi maeneo kama tandale buguruni manzese mbagala n.k na maeneo mengine ya miji yetu mikubwa hali si ya kuridhisha tuna kazi kubwa ya kufanya. Anyway we can choose to admit that they are not at a good standard for living na kuyarekebisha taratibu until everything is ok or tunaweza kuendelea kujifariji kwamba yanafaa kwa kuishi.
Mbona hutaji hayo mazingira hatarishi? Just meanderings 😇😇and brabra
 
Nimekuwa nikifatilia huu mjadala for a quate long time now(since 2017) but nadhani hautatusaidia we are both no where near to where we want to be. Ingawa kuna machache ya kujivunia kote(in kenya & tz),nadhani bado tuna changamoto nyingi tunazotakiwa tuzikabili collectively as neighbours and individually as nations. most of our people live in poverty hamna haja ya kutukanana na kukashifiana tungeelekeza juhudi zetu kusaidiana kuondoa umaskini kwa watu wetu ingekuwa bora sana. Huwa nasikitika sana ninapoona watz wenzangu wanapost repeatedly picha za kibera ili hali some of us pia wanaishi in the same condition. LET US BE POSITIVE AND MOVE FOWARD #umoja ni nguvu.
Bro huu uzi unasaidia kujua mambo mengi kuhusu hizi nchi mbili hususani majiji haya mawili makubwa ya east africa (Dar es Salaam & Nairobi). Binafsi kuna mambo mengi tuu kupitia huu uzi nimejifunza na naendelea kujifunza katika hzi nchi zetu mbili yaana Kenya na Tanzania. Kujifunza huwa kunakuja kwa njia nyingi, hata battle ni njia mojawapo ya kujifunza mambo ingawa inaonekana labda lugha inayotumika humu ndiyo inakukera. Lakini kumbuka tu kwamba hii ni battle kama heading ya thread inayosema hivyo sitegemei kwenye battle kuwe na ulelemama. Kila upande unajitahidi kuoonyesha kwamba wao wapo bora katika eneo fulani kwa vielelezo mbalimbali kama picha n.k. Naamini hata wewe huu uzi unakusaidia kujua mambo mengi tu ambayo ulikuwa huyajui ndio maana unaufuatilia tangu 2017 vinginevyo ungekuwa umesha drop out.
 
Nimekuwa nikifatilia huu mjadala for a quate long time now(since 2017) but nadhani hautatusaidia we are both no where near to where we want to be. Ingawa kuna machache ya kujivunia kote(in kenya & tz),nadhani bado tuna changamoto nyingi tunazotakiwa tuzikabili collectively as neighbours and individually as nations. most of our people live in poverty hamna haja ya kutukanana na kukashifiana tungeelekeza juhudi zetu kusaidiana kuondoa umaskini kwa watu wetu ingekuwa bora sana. Huwa nasikitika sana ninapoona watz wenzangu wanapost repeatedly picha za kibera ili hali some of us pia wanaishi in the same condition. LET US BE POSITIVE AND MOVE FOWARD #umoja ni nguvu.
There`s no room for you to preach, unafikiri sisi uliotukuta humu hatujui kitu?. unajua nini kilisababisha kuanzishwa kwa thread hii?. ushauri U ARE new to this forum you better have a sit and see what`s happening. it will by other ways be a better chance for you to learn something from your seniors. vinginevyo hatuhubiriani humu tunalinganisha NAIROBI na DAR.
 
Nimekuwa nikifatilia huu mjadala for a quate long time now(since 2017) but nadhani hautatusaidia we are both no where near to where we want to be. Ingawa kuna machache ya kujivunia kote(in kenya & tz),nadhani bado tuna changamoto nyingi tunazotakiwa tuzikabili collectively as neighbours and individually as nations. most of our people live in poverty hamna haja ya kutukanana na kukashifiana tungeelekeza juhudi zetu kusaidiana kuondoa umaskini kwa watu wetu ingekuwa bora sana. Huwa nasikitika sana ninapoona watz wenzangu wanapost repeatedly picha za kibera ili hali some of us pia wanaishi in the same condition. LET US BE POSITIVE AND MOVE FOWARD #umoja ni nguvu.
Tatizo ni pale Watznia tunapokuwa positive wenzetu wana kuwa negative, ngoja tuburuzane hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom