Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta yenye waliconvert their passenger plane to cargo, ET wakona enough cargo planes

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_7717.JPG



IMG_7718.JPG




IMG_7719.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is that an ets2 game? Btw hzo basi mnazoita ma3 hata india zipo na ndiyo maana hata kwny hako ka game hakuna mazingira yoyote kuonesha kwmb hyo ni kenya, iyo ni game wanatengeneza watu wa ICT second year uku kwetu, leta map ya ets2 ya kenya km kweli ww ni kidume, maamaaeee
Huyo boya huenda hata haijui ets
 
Hehehe thats an international airline bana sii hii yenyu local hapo, tou have to get cabin crew from different countries to cater for non english speakers i.e. asians, ama hujui why emirates, Qatar employ cabin crew all over the world?

Sent using Jamii Forums mobile app
Buda hizo ni shobo, kwanini fly emirates, etihad au qatar wasiajiri cabin crews wakikenya kwa safari hata walau za kutokea kwenye hub zao to jkia?
 
Buda hizo ni shobo, kwanini fly emirates, etihad au qatar wasiajiri cabin crews wakikenya kwa safari hata walau za kutokea kwenye hub zao to jkia?
Waambie Tu wakuletee picha ya cabin crew ya ndege za china tuone wakenya wakiwemo ili tuamini kuwa undugu baina ya hzo nchi mbili ni wa damu, la cvyo tuamini tu Wakenya wataolewa kwa shobo.
 
Is that an ets2 game? Btw hzo basi mnazoita ma3 hata india zipo na ndiyo maana hata kwny hako ka game hakuna mazingira yoyote kuonesha kwmb hyo ni kenya, iyo ni game wanatengeneza watu wa ICT second year uku kwetu, leta map ya ets2 ya kenya km kweli ww ni kidume, maamaaeee
Shidako ni ushamba. What you have there is a mod version of the game. Hivi vitu ata mtoto wa chekechea anafanya tu. Lipi la ajabu hapo? Euro Track Simulator ata ukipenda uonyeshe ukiwa Buza na Uwanja wa Fisi mbona rahisi tu?
KENYAN-G7-1600LD-8X2-1.28.X-BUS-SKIN-768x422.jpg
KENYAN-G7-1600LD-8X2-1.28.X-BUS-SKIN-3-360x203.jpg
KENYAN-G7-1600LD-8X2-1.28.X-BUS-SKIN-360x203.jpg
Haya hapa Mabasi ya Dreamliner na Spanish Coach ikiwa matatu ndio hupendi kuona.
 
Back
Top Bottom