Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ungejua hivyo kutoka kitambo kua chromosomes ndio zinabeba GENETIC CODE hungezua ubishi ungeelewa kwamba Obama ana genetic code za babake kwa 50%.

Sent using Jamii Forums mobile app
We mbuzi nini? We tangu mwanzo si Ndio ulikuwa unakataa hii fact? Baada ya kukuelewesha sasa hivi Ndio unajifanya mjuaji? Aki wakunga mna taabu
 
Kwa cc wapenzi wa games, tunasubiri kwa hamu huu utaalamu wa WaTz, heheheheheeee Tz bhn noma sana, only in Tz
tapatalk_1588057140593.jpeg
 
Back
Top Bottom