Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeanza ku change gear hewani sasa, mara mamake, sijui kazaliwa wapi sai umeona unalamtwa sasa umehamia kwa familia eti pia ana background ya wazungu..kweli upo desperate

Sent using Jamii Forums mobile app
Usivamie mijadala isiyokuhusu. Toka mwanzo nawapinga wewe na mwenzio kwa kusema mambo ya kipuuzi kama “Obama alizaliwa Kenya” na “Obama Ni mkenya” sijabadilisha gear popote Mr, Ni ufinyu wa ubongo wako kuelewa arguments zangu.
 
joho anaonesha mpaka nguo anazovaa nyumba anayoishi awe na kampuni mombasa isijue wakat mpaka ushuzi wake watu wa mombasa wanaujua😂😂😂😂😂 na mpaka muda wa kujamba pia watu wanaujua
 
Usivamie mijadala isiyokuhusu. Toka mwanzo nawapinga wewe na mwenzio kwa kusema mambo ya kipuuzi kama “Obama alizaliwa Kenya” na “Obama Ni mkenya” sijabadilisha gear popote Mr, Ni ufinyu wa ubongo wako kuelewa arguments zangu.
bro hawa wasikuumize kichwa achana nao ni wapuuzi wawili katika 100 waliobakia humu
 
Sio wewe kaandika hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes and I’ll repeat it over and over. Mitochondria are completely different from sex cells. They are responsible for cellular respiration and any human being possesses mitochondria from their MOTHER. Na pia, mwanzoni hukutaka kutambua other ethnicities alizonazo Obama kwa kufikiri kuwa ni mkenya 99% hehehehe Ana traces za Luo, African American, Ireland, England, Scotland, Switzerland na Germany.
 
Sio wewe kaandika hayo?Mwanaume na mwanamke wote wanatoa chromosomes sawa na hizo ndio zinaunda vinasaba vya mtoto , na vinasaba ndio vinatoa identity ya mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo Chromosomes Ndio Zinabeba GENETIC CODE ya mtoto. Ndio Maana watu hufanya ancestry tests kutambua asili zao. Unaweza ukadhani kuwa wewe Ni mkenya 100% kumbe una traces za maeneo ambayo hukuwahi kutegemea. Tafadhali kuwa muelewa.
 
Go through the profile of the company you will found that HSA is just a management entity ,the company is owned by joho's family, wakati wa Vita vya kibiashara vya SGR na logistic companies ndio wakati hio kampuni ilijulikana kwamba ni ya joho's family. Ila nakuomba Uhuru kwa hio link yako usome HSA is a management entity period hata watanzania wenzako ambao wanaelewa kingereza wanakushangaa.
umeruka topic kwanza tumalize hii kampuni ni ya nani

Home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ethnicity sio hoja Cha msingi ni kwamba mtoto anakua na 50% damu ya mama na 50% damu ya baba period .
Yes and I’ll repeat it over and over. Mitochondria are completely different from sex cells. They are responsible for cellular respiration and any human being possesses mitochondria from their MOTHER. Na pia, mwanzoni hukutaka kutambua other ethnicities alizonazo Obama kwa kufikiri kuwa ni mkenya 99% hehehehe Ana traces za Luo, African American, Ireland, England, Scotland, Switzerland na Germany.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeruka topic kwanza tumalize hii kampuni ni ya nani

Home
Kingereza hoyeee
Screenshot_20200427-201146_Samsung%20Internet~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungejua hivyo kutoka kitambo kua chromosomes ndio zinabeba GENETIC CODE hungezua ubishi ungeelewa kwamba Obama ana genetic code za babake kwa 50%.
Hizo Chromosomes Ndio Zinabeba GENETIC CODE ya mtoto. Ndio Maana watu hufanya ancestry tests kutambua asili zao. Unaweza ukadhani kuwa wewe Ni mkenya 100% kumbe una traces za maeneo ambayo hukuwahi kutegemea. Tafadhali kuwa muelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Go through the profile of the company you will found that HSA is just a management entity ,the company is owned by joho's family, wakati wa Vita vya kibiashara vya SGR na logistic companies ndio wakati hio kampuni ilijulikana kwamba ni ya joho's family. Ila nakuomba Uhuru kwa hio link yako usome HSA is a management entity period hata watanzania wenzako ambao wanaelewa kingereza wanakushangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂 ww siku utapata official source kua joho anamiliki hio kampuni tag me bro mm ntafunga acc jamii forum
 
Back
Top Bottom