Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mkenya wa pili kuonesha anavomiliki baada ya collo mzii kutuonesha techno yake akadanganya watu anamiliki iphone 7😂😂 sitawahi kusahau
 
Niligundua hichi kitu baada ya kuona hiyo rangi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikamute tu.
hio ni macbook ya 2007 pale machinga zinauzwa laki mbili 😂😂😂😂 ndio hzi
EB83903E-64CE-41D5-AEBE-9ACFDE6BE945.jpeg
 
politician wengi wa kenya mali zao zinajulikana wakubwa mpaka wadogo leo joho ndio politician wakwanza kenya mali zake hazijulikan kwa anavopenda sifa yule😂😂😂 hilo neno tycoon sio size yake bado ana safari ndefu sana
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa gametes za mwanaume Ndio zinachukua asilimia kubwa katika utengenezaji wa mtoto? Aisee wewe kenge ni mpumbavu. Kuwa proud kuwa ana “ukenya”ndani yake maana ana asili nyingine pia. Ila usiseme kuwa hana uzungu ndani yake. Mitochondria zote alizonazo mwilini mwake zinatoka upande wa mama yake ambaye ni Mzungu. Malezi yake, accent yake vyote ni vya kimarekani. Halafu, uelewe tofauti Kati ya “African American” na “Kenyan”
Kwhyo mama akiwa muafrika na baba mzungu mtoto atatokea km harmorapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom