Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hehehe google yenyewe inakataa
naona majina yakina tahir na wengine sijaona jina la johoView attachment 1432812View attachment 1432813View attachment 1432814View attachment 1432815
Ndio utafakari sasa..ile familia huiwezi ielewa kabisa...
Utaanzaje kuwaelewa kwanza na wakati huwajui
Screenshot_20200427-223959_Samsung%20Internet~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inadhihirisha km unawakubali hao jamaa kimya kimya...yani leo umeleta mabilionea zaidi ya mmoja kenya wakati bongo ni mmoja...
Kweli umechanganyikiwa hadi ukasahau uzalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
forbes ndio wanaoaminika duniani😂😂 leo hii munaikataa forbes

so forbes hawakujua kuna billionare kenya😂😂😂😂😂😂🤓🤓🤓🤓
 
Sikusema kuwa ni mzungu. He is obviously mixed. Tatizo lako wewe unataka kufanya ethnic background yake ya ukenya kuwa kubwa kuliko nyingine alizonazo ambao ni upuuzi wa kupindukia
Wenzako walisema hapa eti ni mzungu typical 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom