komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hata viwanda vya chereni na blender pia wewe ni tycoon[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukifungua banda la mirungi ww pia tycoon
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata viwanda vya chereni na blender pia wewe ni tycoon[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukifungua banda la mirungi ww pia tycoon
Sawa, najua kwamba ww ni mkenya upumbavu mmeumbiwa ngj nikukubalie, ok Obama ni mkenya kwahyo ulitaka kumaanisha nini?
👏👏👏👏👏👏🤓🤓🤓🤓
Waliopiga deki barabara kwanza walikuwa akina nani[emoji1787][emoji1787]Ignorance ya kwnz ilikuwa hii kumshobokea mtu af hana time na nyie, mmekuja kustuka baadae kwmb hana time na nyie mkapunguza shobo [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1432487View attachment 1432488
obama amesaidia nn kenya 😂😂😂😂 toka amejua chimbuko la baba yake kasaidia nn kenya na kwann asichukue raia awe mkenya kuna shida gani hapo????Wewe ungekua na akili ungejielewa kwa maana huna akili,Kama wewe ni mwanaharamu huna babako usilazimishe kila mtu awe Kama wewe , Obama anajielewa ndio maana katafuta babake licha ya kuwa alikua ameaga kitambo alifanya juhudi kujua chimbuko lake, ungekua na akili ungeelewa sio mitochondria inafanya identity ya mtoto Bali ni DNA ambayo itokanayo na chromosomes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biology kasome wewe. Mitochondria za binadamu yoyote Hutoka kwa mama wabinadamu huyo.
Mtaelewa pole pole tu..si unajua kawaida ya slow learnersjibu swali kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwhyo mtu kuw msukuma mpka agawe hela usukumani sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122]obama amesaidia nn kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toka amejua chimbuko la baba yake kasaidia nn kenya na kwann asichukue raia awe mkenya kuna shida gani hapo????
So, Obama is a KenyanEach parent produces 23 chromosome which combines to form a single strand ,sperm from a man and egg from a woman each carries 23 chromosomes they unite to form s single strand of DNA, for your information it's chromosomes that can make you claim a child as a father and not mitochondria as you earlier claimed, because mitochondria in the sperm is destroyed during fertilization,so what makes Obama a Kenyan it's because of his father's chromosomes in his DNA and not mitochondria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biology kasome wewe. Mitochondria za binadamu yoyote Hutoka kwa mama wabinadamu huyo.
jibu swali joho ana nini tuanze hapo ni politician ndio anajulikana ana nini?? mbona kenyatta ni politician na tunajua kampuni zake
Leo nimekudharau sn, yn umejiaibisha mno hehehehee af inaonekana ushapiga chang'aa mana una quote watu hovyo, uliona nmeongelea habari za mitochondria hapa, acha kuendekeza chang'aa utaanguka kifudifudi watu wale 0713 hyo[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe ungekua na akili ungejielewa kwa maana huna akili,Kama wewe ni mwanaharamu huna babako usilazimishe kila mtu awe Kama wewe , Obama anajielewa ndio maana katafuta babake licha ya kuwa alikua ameaga kitambo alifanya juhudi kujua chimbuko lake, ungekua na akili ungeelewa sio mitochondria inafanya identity ya mtoto Bali ni DNA ambayo itokanayo na chromosomes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimpigia mtz mwenzao btw[emoji3][emoji3]Waliopiga deki barabara kwanza walikuwa akina nani[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
uhehehe [emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1432380
so obama ni mkenya au ni muamerica??
You should go back to your books because in the beginning, you were trying to disagree with that fact.It's chromosomes that forms the identity of the child and not mitochondria,go back to our books.
Sent using Jamii Forums mobile app
yani munamgombani mtu mwenyewe ni raia wa marekani hana mpango wowote na kenya hvi nyinyi muko sawa kweli😂😂😂😂Kwhyo mtu kuw msukuma mpka agawe hela usukumani sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app