Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bring that fact that I disputed, baada ya kusema ni mzungu nimewaletea chromosomes combination Tena mnageuza gear? Kisebusebu na roho kipapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikusema kuwa ni mzungu. He is obviously mixed. Tatizo lako wewe unataka kufanya ethnic background yake ya ukenya kuwa kubwa kuliko nyingine alizonazo ambao ni upuuzi wa kupindukia
 
Sikusema kuwa ni mzungu. He is obviously mixed. Tatizo lako wewe unataka kufanya ethnic background yake ya ukenya kuwa kubwa kuliko nyingine alizonazo ambao ni upuuzi wa kupindukia
Umeanza ku change gear hewani sasa, mara mamake, sijui kazaliwa wapi sai umeona unalamtwa sasa umehamia kwa familia eti pia ana background ya wazungu..kweli upo desperate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wewe kaandika hayo?
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa gametes za mwanaume Ndio zinachukua asilimia kubwa katika utengenezaji wa mtoto? Aisee wewe kenge ni mpumbavu. Kuwa proud kuwa ana “ukenya”ndani yake maana ana asili nyingine pia. Ila usiseme kuwa hana uzungu ndani yake. Mitochondria zote alizonazo mwilini mwake zinatoka upande wa mama yake ambaye ni Mzungu. Malezi yake, accent yake vyote ni vya kimarekani. Halafu, uelewe tofauti Kati ya “African American” na “Kenyan”
Mwanaume na mwanamke wote wanatoa chromosomes sawa na hizo ndio zinaunda vinasaba vya mtoto , na vinasaba ndio vinatoa identity ya mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wala hutosikia basi

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa😂😂😂👇👇👇
7021C58F-D40B-4AB9-B237-AA5893BE3C06.png
 
Back
Top Bottom