Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hv hujanielewa au unajitia uwehu, c ni nyie mlisema kwmb Tz haipimi au? Ss leo tunawatafsiria mbinu zetu ambazo tayari mshaanza kuiga mnaanza kulia lia na kutuambia kwamba tunapima, kweli nyie ni wafa maji[emoji3][emoji3][emoji3]
In the last 24 hours mmepima wangapi? If you ask me how many we've tested in the last 24 hours nitakuambia. The point is, mnapima watu wachache sana hadi wengine nasikia wanaachiliwa bila kupimwa just because they do not show any signs of the virus. That it a timed bomb that will explode right in your faces soon

Alafu ni mbinu zipi hizo tunaiga kutoka kwenu? Hebu zitaje hapa one by one
 
LOL ila sio zile zenu za fundi maiko zilizokaa tenge

Yaani ninyi kwenye sector ya ujenzi mpo nyuma kichizi, ukiondoa estates za wazungu waliokuja na ujuzi wao kutoka ulaya ninyi wenyewe hamuwezi kujenga decent houses
Estates za wazungu 😂 😂 😂 😂
images(235).jpg
images(245).jpg
images(244).jpg
6105005122_48e01e3abf_b (1).jpg
images(115).jpg
2278698_segunfagbami_20200121_32.jpeg
images(348).jpg
stdmbsjydepgzsnep.jpg
1978066_tapatalk_1541620237126.jpeg

Wazungu ni watu wazuri sana, waendelee hivyo hivyo wala wasichoke
 
In the last 24 hours mmepima wangapi? If you ask me how many we've tested in the last 24 hours nitakuambia. The point is, mnapima watu wachache sana hadi wengine nasikia wanaachiliwa bila kupimwa just because they do not show any signs of the virus. That it a timed bomb that will explode right in your faces soon

Alafu ni mbinu zipi hizo tunaiga kutoka kwenu? Hebu zitaje hapa one by one
Ss mnavyopima wkt idadi inazd kupaa inawasaidia nn? Hivi unanielewa we jamaa au niache tu kujichosha
 
Nimengoja aerial view kwa umbali ya hizo estates za Dar., aibu tupu., ni visehemu sehemu vidogo..,
 

Attachments

  • 8513321315_5ae9583fa9_b.jpg
    8513321315_5ae9583fa9_b.jpg
    103.8 KB · Views: 14
  • C7Sgz17X0AAd5zX.jpg
    C7Sgz17X0AAd5zX.jpg
    123.3 KB · Views: 18
  • 13819269555_49c950a6e9_b.jpg
    13819269555_49c950a6e9_b.jpg
    59.7 KB · Views: 12
Maaan Jaribu kwenda na tune

Sisi hapa tunaleta vitu unique ambavyo is for the first time vinaonekana hapa JF, wewe unatuletea vitu ambavyo each second unapost


Please bring different ideas
 
Back
Top Bottom