Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunajua wabongolala huishi maisha mazuri kama hayaView attachment 1427104

Sent using Jamii Forums mobile app
Una picha nyingine zaidi ya hiyo? Society isn’t perfect. But, it doesn’t mean kuwa Dar hakuna watu wanaoidhi maisha mazuri sana. Kumbe ka huu Ndio mji wa kibiashara wenye dollar millionaires wengi kuliko wenu kwa hiyo hiyo picha ni utoto tu unakusumbua.
 
Estate mbili hizitoshi kujibizanana Nairobi.... Langata
Sasa hapo ndio umefanya kitu gani!?
Sijakupatia estate yoyote kijana.
Umeangukia pua.
images-54.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Millionaire wanaishi kwenye mabanda au Kariokoo?
Una picha nyingine zaidi ya hiyo? Society isn’t perfect. But, it doesn’t mean kuwa Dar hakuna watu wanaoidhi maisha mazuri sana. Kumbe ka huu Ndio mji wa kibiashara wenye dollar millionaires wengi kuliko wenu kwa hiyo hiyo picha ni utoto tu unakusumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mod sasa ni wakati wa kufuta huu uzi sababu Dar imeshuka ligi siku hizi ina compete na Kilimani so sioni haja uendele sababu Dar itazidikua victim
Screenshot_2020-04-21-23-00-45.jpeg
Screenshot_2020-04-21-22-36-28.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana nimekwambi acha utoto. Dar es salaam is almost 3 bigger than Nairobi.
Hayo majengo Dar ni mengi mno.
I mean 10fls buildings yanaweza kufika 1000.
Huko TZ kuna city ingine kubwa na yenye iko na majengo makubwa kama ya dar? Apart from Nairobi Kenya, there is another city which is coming very soon and is called Tatu.. unaijua hiyo?
 
Back
Top Bottom