Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbezi Beach
1587574271581.png


1587574340806.png


1587574618537.png
 
Zile tower tatu ziliwadanganya sana hadi mkafika level ya kufungua huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ni finyu mno. Ubora wa jiji si maghorofa. Kuna Maeneo Kama Oysterbay na Masaki yamewekewa sheria ya urefu wa majengo ili kutunza uasilia wa maeneo hayo. Halafu, Watanzania wengi hawaishi kwenye mabanda ya kuku Kama nyie wakenya. Lifestyle yetu Ni tofauti mno. Wengi wanapenda kuishi kwenye viwanja vyao na nyumba zao lakini wewe unapoona hizo horrible apartment blocks akili inapaa unaona mko juu kumbe ni ujinga tu.
 
Akili yako ni finyu mno. Ubora wa jiji si maghorofa. Kuna Maeneo Kama Oysterbay na Masaki yamewekewa sheria ya urefu wa majengo ili kutunza uasilia wa maeneo hayo. Halafu, Watanzania wengi hawaishi kwenye mabanda ya kuku Kama nyie wakenya. Lifestyle yetu Ni tofauti mno. Wengi wanapenda kuishi kwenye viwanja vyao na nyumba zao lakini wewe unapoona hizo horrible apartment blocks akili inapaa unaona mko juu kumbe ni ujinga tu.
Tunajua wabongolala huishi maisha mazuri kama haya
tapatalk_1586508228851.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili yako ni finyu mno. Ubora wa jiji si maghorofa. Kuna Maeneo Kama Oysterbay na Masaki yamewekewa sheria ya urefu wa majengo ili kutunza uasilia wa maeneo hayo. Halafu, Watanzania wengi hawaishi kwenye mabanda ya kuku Kama nyie wakenya. Lifestyle yetu Ni tofauti mno. Wengi wanapenda kuishi kwenye viwanja vyao na nyumba zao lakini wewe unapoona hizo horrible apartment blocks akili inapaa unaona mko juu kumbe ni ujinga tu.
Uswazi tu,hiyo ni lifestyle poa sana kama ulaya hivo,poor ldc
 
Back
Top Bottom